Miss Tanzania, Don't take this saga too Personal

Miss Tanzania, Don't take this saga too Personal

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Miss Tanzania naona umesahau kuwa wewe ni mwakilishi wa taifa la Jamuhuri ya Muungano Tanzania,
Hivyo uwakilishi wako siyo kuwa unawakilisha jina lako kama Sitti Mtemvu bali unawakilisha taifa, Kama taifa lipopeleka mtu kupeperusha Bendera ya Taifa inamaana limemwamini kuwa huyu hana ukwasi wowote katika nchi yake!

Hivyo kunapokuwa na hali ya sintofahamu watanzania wanahitaji kujua mstakabali wa wingu linalo kuzunguka! Kama umedanganya umri ukaulizwa na waandishi kutaka kujua kwa ufasaha juu ya kitu kisicho kuwa cha kawaida kwako inabidi utoe majibu sahihi siyo kusema mimi mengine ni maswala binafsi!

Mfano uliulizwa mbona Pasi yako ya kusafiria na driving licence vilionyesha mwaka wakuzaliwa sasa ukiulizwa unasema hivyo ni vitu binafsi! Wakati kinachoongelewa ni kuhusu huo mwaka inamaana kama umedangaya katika pasi ya kusafiria ya nchi yako bado wewe siyo mtu sahihi wakuiwakilisha nchi! Ili utete hoja zako lazima uwe na uthibitisho kuliko kujibu maswali ya jumla!

Lundenga inabidi awajibike au wewe uwajibike kwani huna maelezo sahihi yakufanya wewe usivuliwe u-miss Tanzania!

Nakumbuka tangu siku unavaa ile crown wewe umekuwa Public figure hivyo ni wajibu wako kushirikiana na waandishi wa habari siyo ukiulizwa unasema this is too personal, unatakiwa kueleza kwa uwazi watu wakujue kiundani ili tusije kuwakilishwa na mtu si Mtanzania!
 
KakaKiiza

Najiuliza...hivi, atatumia pasi gani kusafiria kwenda Miss World? Hiyo anayodai ya 'masuala binafsi' yenye umri bandia wa miaka 25?! hii ina implication gani kwa Miss World, mshiriki wao mwenye kithibitisho cha umri wa miaka 23 anatumia pasipoti yenye umri wa miaka 25!! Na pia, amaesema alipoteza cheti cha kuzaliwa cha zamani, ina maana alitumia affidavit kupata pasipoti hii yenye umri wa miaka 25...Affidavit nijuavyo mimi ni hati ya 'kiapo', ambayo ukidanganya ni kosa la kisheria wapaswa kuchukuliwa hatua...mbona yeye hachukuliwi hatua na mamlaka husika, wakati kiaina 'amekiri' alidanganya kwenye affidavit!?
 
Last edited by a moderator:
KakaKiiza

Najiuliza...hivi, atatumia pasi gani kusafiria kwenda Miss World? Hiyo anayodai ya 'masuala binafsi' yenye umri bandia wa miaka 25?! hii ina implication gani kwa Miss World, mshiriki wao mwenye kithibitisho cha umri wa miaka 23 anatumia pasipoti yenye umri wa miaka 25!! Na pia, amaesema alipoteza cheti cha kuzaliwa cha zamani, ina maana alitumia affidavit kupata pasipoti hii yenye umri wa miaka 25...Affidavit nijuavyo mimi ni hati ya 'kiapo', ambayo ukidanganya ni kosa la kisheria wapaswa kuchukuliwa hatua...mbona yeye hachukuliwi hatua na mamlaka husika, wakati kiaina 'amekiri' alidanganya kwenye affidavit!?
Watu wa uhamiji walitakiwa wachukue hatua hapohapo kwani wakati wakujaza fomu kuna mahali unakubali kuwa hiki nilichokijaza humu ni ukweli ikibainika ni uongo hatua zakisheria zichukuliwe dhidi yangu! Hicho kipengele kinatocha kumvua taji sasa imagration wapo kimyaaa! Kisa Baba Mbunge!Ngoja tuone atatumia hiyo pasi kusafiria!
Mimi ningewahasa walioshuriki kama hawakubaliani wapeleke maralalamiko yao Miss world watasikilizwa na huyu hawatamkubali!
 
Last edited by a moderator:
Hili jinamizi halitomuacha kamwe ..
Aombe radhi kwa watanza wenye nia..NO MATTER WHAT.
 
Baba katembeza noti za kutosha kwa kila muhusika. Hii ndio CCM jamani. Siasa imeingia hadi kwa Lundenga.
 
Huyu ni mzee full stop, hata sura yake tu imekataa kuwa yeye sio miss mambo mengine ya akina Lundenga ni ya kimjini mjini hawana lolote
 
Watu wa uhamiji walitakiwa wachukue hatua hapohapo kwani wakati wakujaza fomu kuna mahali unakubali kuwa hiki nilichokijaza humu ni ukweli ikibainika ni uongo hatua zakisheria zichukuliwe dhidi yangu! Hicho kipengele kinatocha kumvua taji sasa imagration wapo kimyaaa! Kisa Baba Mbunge!Ngoja tuone atatumia hiyo pasi kusafiria!
Mimi ningewahasa walioshuriki kama hawakubaliani wapeleke maralalamiko yao Miss world watasikilizwa na huyu hawatamkubali!

Kuna muda nikifikiria nchi yangu nataka kulia
 
ImageUploadedByJamiiForums1413976112.439827.jpg
Hapo sasa..
 
Kama within a week ameweza kufoji cheti cha kuzaliwa atashindwa kufoji passport? Najiuliza tu huko Marekani hataenda tena huyu wajina wangu, ametia aibu kwakweli, wajina bi sitti, hebu jiudhuru tu ndugu yangu hutakuwa wa kwanza wala wa mwisho, vinginevyo utafanya tusiyaamini tena haya mashindano na kuanzia mwakani hatuendi miss kichochoroni wala miss wilaya, wala miss zone yoyote

KakaKiiza

Najiuliza...hivi, atatumia pasi gani kusafiria kwenda Miss World? Hiyo anayodai ya 'masuala binafsi' yenye umri bandia wa miaka 25?! hii ina implication gani kwa Miss World, mshiriki wao mwenye kithibitisho cha umri wa miaka 23 anatumia pasipoti yenye umri wa miaka 25!! Na pia, amaesema alipoteza cheti cha kuzaliwa cha zamani, ina maana alitumia affidavit kupata pasipoti hii yenye umri wa miaka 25...Affidavit nijuavyo mimi ni hati ya 'kiapo', ambayo ukidanganya ni kosa la kisheria wapaswa kuchukuliwa hatua...mbona yeye hachukuliwi hatua na mamlaka husika, wakati kiaina 'amekiri' alidanganya kwenye affidavit!?
 
Last edited by a moderator:
Mimi naendelea kusubiri matamko tu
Keshatamka Lundenga, sasa nasubiri, TBL watamke, BASATA watamke, Wizara ya habari itamke, wizara ya mambo ya ndani kitengo cha uhamiaji kitamke, then tuone mwisho wa hili saga

Watu wa uhamiji walitakiwa wachukue hatua hapohapo kwani wakati wakujaza fomu kuna mahali unakubali kuwa hiki nilichokijaza humu ni ukweli ikibainika ni uongo hatua zakisheria zichukuliwe dhidi yangu! Hicho kipengele kinatocha kumvua taji sasa imagration wapo kimyaaa! Kisa Baba Mbunge!Ngoja tuone atatumia hiyo pasi kusafiria!
Mimi ningewahasa walioshuriki kama hawakubaliani wapeleke maralalamiko yao Miss world watasikilizwa na huyu hawatamkubali!
 
HAfai!!! ET kama kama wanataka kujua ana mtoto waende hospitali jaman?? Majibu gani haya ya chooni
 
Hakuna kitu kafanya kibaya kuwaona waandishi wanamsakama au wanamsaka kwani yeye anajiona kama yule sitti wakawaida! Kumbe yeye kavaa taji la kitaifa la Miss Tanzania kwani alitakiwa kujipanga zaidi siyo kama alivyofanya kumuacha Sitti Mtenvu nikutufanya tuamini kuwa ni mashindano ya Pesa na kuvua chupi!
 
Hakuna kitu kafanya kibaya kuwaona waandishi wanamsakama au wanamsaka kwani yeye anajiona kama yule sitti wakawaida! Kumbe yeye kavaa taji la kitaifa la Miss Tanzania kwani alitakiwa kujipanga zaidi siyo kama alivyofanya kumuacha Sitti Mtenvu nikutufanya tuamini kuwa ni mashindano ya Pesa na kuvua chupi!

Ameshadanyanya akokiri kosa itamgharimu hadi baba yake Ubunge wake next election
 
natafuta address ya miss world na migration Texas nadhani hawa wenzetu hawaendekezi dhiki.Naona migration TZ tumeshindwa.najua hawa wenzetu watalifanyia kazi.pole sitti kiburi chako na huyo babu yako utakIONYESHA george bush airport. HAPA NIMESHADOWNLOAD CHETI CHAKO.HIKI TU KINATOSHA,NAAMBATANISHA NA NAKALA ZA DRIVING LICENSE YA TX na passpot.ILI UKAWADANGANYE NA HAO SIS UMESHATUMWEZA.IM OUT

Hakuna kitu kafanya kibaya kuwaona waandishi wanamsakama au wanamsaka kwani yeye anajiona kama yule sitti wakawaida! Kumbe yeye kavaa taji la kitaifa la Miss Tanzania kwani alitakiwa kujipanga zaidi siyo kama alivyofanya kumuacha Sitti Mtenvu nikutufanya tuamini kuwa ni mashindano ya Pesa na kuvua chupi!
 
Siku nne walikua wanatengeneza cheti bandia na kujiandaa na maswali walioshidwa kuyajibu.tz nchi yangu lakini inanifanya saa nyingine niichukie.huyu dada analo bado la kujibu huko kwingine nyie subirini tu.miss over bibi yake


kakakiiza

najiuliza...hivi, atatumia pasi gani kusafiria kwenda miss world? Hiyo anayodai ya 'masuala binafsi' yenye umri bandia wa miaka 25?! Hii ina implication gani kwa miss world, mshiriki wao mwenye kithibitisho cha umri wa miaka 23 anatumia pasipoti yenye umri wa miaka 25!! Na pia, amaesema alipoteza cheti cha kuzaliwa cha zamani, ina maana alitumia affidavit kupata pasipoti hii yenye umri wa miaka 25...affidavit nijuavyo mimi ni hati ya 'kiapo', ambayo ukidanganya ni kosa la kisheria wapaswa kuchukuliwa hatua...mbona yeye hachukuliwi hatua na mamlaka husika, wakati kiaina 'amekiri' alidanganya kwenye affidavit!?
 
Back
Top Bottom