Haaaaaa!! Hadi tumpate mshindi wa kweli!!
aliwezaje kuwa jenerali kama si mtanzania? Huyo ni mhaya acheni kuchimbachimba sana, hata kama.baba yake ni mnyarwanda kama alizaliwa tz basi yy binti ni mtz.
Hoja hii sitachangia. Ya sitti inatosha.... Mambo ya uraia huo ni ubaguzi
hongera lilian
Wanajamvi tumekuwa na msuguano kuhusu Urai wa Jenerali KAMAZIAMA; kuhusu uraia wake na hili linaturudisha kule kule kuwa asili ya miss Tanzania ni Mnyarwanda.
Uchunguzi uanze upya