Miss Tanzania Watimanywa kawa Unfollow watu wote waliompigia kura Miss World

Kwanza followers wenyewe anao wachache sana kwa status yake.Pole zake
 
nanyie mu unfollowback....!
Tumeshachelewa ametutumia tukampigia kampeni, watu wakadownload mpk application. Leo hatuna maana woooote.
 
Huyu sista duu sijui amekula maharage ya wapi huyu,,simuheshimu tena huyu,,amekuwa wa hovyo huyu...Ila masista duu wanadharau sana

Hahahahaa matumbo mbona unalalamika sana? Alikua amekufollow nini?
 
Last edited by a moderator:
Tumetumia muda wetu kumpigia kampeni huko twitter watu wakampeleka nusu aingie top ten, leo natufanya hivi..Ngoja watakuja tu tena kutuomba sapoti na vichupi vyao.

Wanawapaga moyo tu wenye sura ngumu kua umiss sio sura lakini talent na upstairs uwe vizuri lakini sijawahi kumuona miss world mbaya.
Kwahiyo basi huyu wetu kivyovyote asingeshinda.Mwenyewe alikua muoga pia.
 
Wanawapaga moyo tu wenye sura ngumu kua umiss sio sura lakini talent na upstairs uwe vizuri lakini sijawahi kumuona miss world mbaya.
Kwahiyo basi huyu wetu kivyovyote asingeshinda.Mwenyewe alikua muoga pia.

Yaani naishiaga pale kwenye top 10 naenda zangu kulala, manake wanapoanza kuchagua top 5 unashangaa wanawamwaga warembo wote wanabaki sura ngumu tupu, khaa!! kisa eti upstairs wako njema, shenzi zao!! No maana baada ya mashindano miss mwenyewe anakosa mvuto kabisa machoni mwa watanzania, yaani watu wanashindwa hata kufuatilia miss wetu anafanya nini kwa jamii, coz no mvuto wa sura na umbo!!
 

Hahahaa kama mwaka jana aisee walinikera kuna msichana mmoja alikua mzuri huyo balaa.Alikua miss nini sijui ila alikua anatokea pande za manyara huko.
Mwanzoni nilidhani atashinda yeye lakini akaishia kuvishwa taji la mrembo mwenye mvuto katika picha.Ajabu wakaja kutuchagulia libibi Sitti!

Halafu nilikua kwenye process za kukutafuta maana mida inakaribia hivyoooo.....!
 

Yaa ya mwaka jana ndo ilituvuruga zaidi kweli

Ngoja tufuatilie mpambano sasa, leo nataka kujivika roho ngumu nione hadi mwisho, sijui ka ntaweza lakini
 
Yaa ya mwaka jana ndo ilituvuruga zaidi kweli

Ngoja tufuatilie mpambano sasa, leo nataka kujivika roho ngumu nione hadi mwisho, sijui ka ntaweza lakini

Haya na tuhamie zetu kule kwenye sports.
Ndio nilitaka kukuuliza kama stamina ipo au lah?
 
Haya na tuhamie zetu kule kwenye sports.
Ndio nilitaka kukuuliza kama stamina ipo au lah?

Mmmh aisee, nimechungulia tu ule uze na kuanza kugonga like kadhaa kwa wadau naona mapigo ya moyo yanaenda resi, ngoja nitaangalia matokeo ya mwisho tu aisee!! naona nimekosa guts kabisaaa
 
Mmmh aisee, nimechungulia tu ule uze na kuanza kugonga like kadhaa kwa wadau naona mapigo ya moyo yanaenda resi, ngoja nitaangalia matokeo ya mwisho tu aisee!! naona nimekosa guts kabisaaa

Nimekuona sana tu!Wewe nae jikaze kiume bwana, unakua kama mikia wanaokimbia jukwaa?
 
Anataka kuwa kama lily wyne ana alikuwa ana follow 1.5mil post 0 following 0
 
Wanawapaga moyo tu wenye sura ngumu kua umiss sio sura lakini talent na upstairs uwe vizuri lakini sijawahi kumuona miss world mbaya.
Kwahiyo basi huyu wetu kivyovyote asingeshinda.Mwenyewe alikua muoga pia.

Ha haaaaa haaaa ni kweli aisee Yale ni mashindano ya urembo sio akili ni darasani au talent huyu naye Alibebwa tu mana sura yake hafu alikua mfupi. Mamiss wengine walikua wakali hadi nikaona aibu Mimi mana yeye kua mshindi wenzake wazuri kushinda yeye waliachwa aache shauzi huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…