Miss Tz 2002 Angela Damas ndio alinifanya niyapende mashindano ya warembo

Miss Tz 2002 Angela Damas ndio alinifanya niyapende mashindano ya warembo

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,380
Kipindi hiki cha mwaka 2002 nilianza rasmi kufatilia mashindano ya wadada warembo, nilimshuhudia Madam Angela Damas akiibuka mshindi na kuchukua taji la Miss Tanzania 2002.

Nilipenda zaidi jinsi alivyo jibu maswali na kujiamini kipindi anajibu maswali. Jinsi alivyojibu tu nikajua anakwenda kushinda na akashinda kweli.

Nilivutiwa sana na mashindano haya mpaka Leo yaani huwezi kunipotosha nikakukubalia. Nawapenda sana hawa wadada Mimi Deogratius Nalimi Kisandu.

30 Desemba 2017.
images (2).jpg
 
Angela Famas..?? Tanzania haijawahi kuwa na miss mwenye jina FAMAS, mtemi labda ulimaanisha Angela Damas.
Nasikiaga una nyota ya kupendwa na kina anjela tena wote weupe, baada ya kuporwa yule sasa umeingia kwa angela mwingine!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Angela Famas..?? Tanzania haijawahi kuwa na miss mwenye jina FAMAS, mtemi labda ulimaanisha Angela Damas.
Nasikiaga una nyota ya kupendwa na kina anjela tena wote weupe, baada ya kuporwa yule sasa umeingia kwa angela mwingine!

Nimekosea sepelingi badala ya D nikaweka F ni DAMAS. Naomba mod atu rekebishie taito.
 
Kipindi hiki cha mwaka 2002 nilianza rasmi kufatilia mashindano ya wadada warembo, nilimshuhudia Madam Angela Damas akiibuka mshindi na kuchukua taji la Miss Tanzania 2002.

Nilipenda zaidi jinsi alivyo jibu maswali na kujiamini kipindi anajibu maswali. Jinsi alivyojibu tu nikajua anakwenda kushinda na akashinda kweli.

Nilivutiwa sana na mashindano haya mpaka Leo yaani huwezi kunipotosha nikakukubalia. Nawapenda sana hawa wadada Mimi Deogratius Nalimi Kisandu.

30 Desemba 2017.View attachment 663347
we nawe! na mamiss wako wa zamani
 
Kipindi hiki cha mwaka 2002 nilianza rasmi kufatilia mashindano ya wadada warembo, nilimshuhudia Madam Angela Damas akiibuka mshindi na kuchukua taji la Miss Tanzania 2002.

Nilipenda zaidi jinsi alivyo jibu maswali na kujiamini kipindi anajibu maswali. Jinsi alivyojibu tu nikajua anakwenda kushinda na akashinda kweli.

Nilivutiwa sana na mashindano haya mpaka Leo yaani huwezi kunipotosha nikakukubalia. Nawapenda sana hawa wadada Mimi Deogratius Nalimi Kisandu.

30 Desemba 2017.View attachment 663347


Inatosha sasa achana na.tabia ya kutuma tuma picha za wake za watu sasa!!
 
Back
Top Bottom