Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
Kipindi hiki cha mwaka 2002 nilianza rasmi kufatilia mashindano ya wadada warembo, nilimshuhudia Madam Angela Damas akiibuka mshindi na kuchukua taji la Miss Tanzania 2002.
Nilipenda zaidi jinsi alivyo jibu maswali na kujiamini kipindi anajibu maswali. Jinsi alivyojibu tu nikajua anakwenda kushinda na akashinda kweli.
Nilivutiwa sana na mashindano haya mpaka Leo yaani huwezi kunipotosha nikakukubalia. Nawapenda sana hawa wadada Mimi Deogratius Nalimi Kisandu.
30 Desemba 2017.
Nilipenda zaidi jinsi alivyo jibu maswali na kujiamini kipindi anajibu maswali. Jinsi alivyojibu tu nikajua anakwenda kushinda na akashinda kweli.
Nilivutiwa sana na mashindano haya mpaka Leo yaani huwezi kunipotosha nikakukubalia. Nawapenda sana hawa wadada Mimi Deogratius Nalimi Kisandu.
30 Desemba 2017.