Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
Angela Famas..?? Tanzania haijawahi kuwa na miss mwenye jina FAMAS, mtemi labda ulimaanisha Angela Damas.
Nasikiaga una nyota ya kupendwa na kina anjela tena wote weupe, baada ya kuporwa yule sasa umeingia kwa angela mwingine!
Kumbe Angela mfamasia
Dah pole sana mkuu hizi sepelingi zinasumbuaga sana, natumaini kwa kasi ya serikali ya awamu ya tano hii shida itaisha!Nimekosea sepelingi badala ya D nikaweka F ni DAMAS. Naomba mod atu rekebishie taito.
we nawe! na mamiss wako wa zamaniKipindi hiki cha mwaka 2002 nilianza rasmi kufatilia mashindano ya wadada warembo, nilimshuhudia Madam Angela Damas akiibuka mshindi na kuchukua taji la Miss Tanzania 2002.
Nilipenda zaidi jinsi alivyo jibu maswali na kujiamini kipindi anajibu maswali. Jinsi alivyojibu tu nikajua anakwenda kushinda na akashinda kweli.
Nilivutiwa sana na mashindano haya mpaka Leo yaani huwezi kunipotosha nikakukubalia. Nawapenda sana hawa wadada Mimi Deogratius Nalimi Kisandu.
30 Desemba 2017.View attachment 663347
Kipindi hiki cha mwaka 2002 nilianza rasmi kufatilia mashindano ya wadada warembo, nilimshuhudia Madam Angela Damas akiibuka mshindi na kuchukua taji la Miss Tanzania 2002.
Nilipenda zaidi jinsi alivyo jibu maswali na kujiamini kipindi anajibu maswali. Jinsi alivyojibu tu nikajua anakwenda kushinda na akashinda kweli.
Nilivutiwa sana na mashindano haya mpaka Leo yaani huwezi kunipotosha nikakukubalia. Nawapenda sana hawa wadada Mimi Deogratius Nalimi Kisandu.
30 Desemba 2017.View attachment 663347
Ujue Deo ana mpango wa kushtaki watu wanaokosea jina lake, kuanzia mapadri, walimu,mwajiri n.k hilo sekeseke lisijekukukumba πAngela famas tena.
Sawa deo balimi kisandu
[emoji23][emoji23][emoji23]mbona yeye amekosea jina la watuUjue Deo ana mpango wa kushtaki watu wanaokosea jina lake, kuanzia mapadri, walimu,mwajiri n.k hilo sekeseke lisijekukukumba π
πππ[emoji23][emoji23][emoji23]mbona yeye amekosea jina la watu