Miss TZ 2006 kaibukia hapa

McDonaldJr

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2013
Posts
6,386
Reaction score
7,558
WEMA I SEPETU kaamua kutia para kichwani sijui ndo u-Amber au niaje ndio muonekano mpya.
 
Duh anahaingaika huyu,nachoona anazeeka wakati anajidai under 30
 
Daah, Mungu anisamehe ikla kiukweli ana kichwa kama Baba Ubaya. Kile kikatuni cha Dr Levy..

"Nlikuwepo":bolt:

Mchina aendelee na kutengeneza midude yao ya kuvaa kichwani inawasitiri sana kwa kweli
 
Aisee hapendezi kunyoas kuchwa kama mlima kilimanjaro hapa hata domo akisepa ni halalii akafanyiwe surgery kichwaa kiwe poaaa lollll
 
Duuuuh kichwa kama Yale mabasi yetu ya Arusha to Loliondo

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Aisee hapendezi kunyoas kuchwa kama mlima kilimanjaro hapa hata domo akisepa ni halalii akafanyiwe surgery kichwaa kiwe poaaa lollll

kabisa kichwa kawa baba ubaya yani ametisha kwa kunyoa bora avae yale mawig ya kichna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…