Miss TZ 2006 kaibukia hapa

jamani acheni kukosoa kazi ya mwenyezi Mungu kha!
 
hii picha niliopna imepostiwa usiku sana jana,hivi huyu rj nae analala kwa diamond na wema ama? alijikataa kwenda kwake.

Haaaaahaa atakua anakaa na Diamond uyu hawezi kurudi Tandale ni kweli ilikua jana usiku sana kama 8 ivi ngoja aje warumi atuambie uyu RJ anakaa wapi maana ana exposure na hawa watu.
 
Last edited by a moderator:
baada ile picha yake kuvuja nini. ila mmh smh wema mzee sijui ni hayo ma makeup

Picha ipi tena iliovuja mbona unaleta hekaheka za moyo embu fanya kutujuza wengine Darisalama mpk kutokee msiba ndio tuje.
 
Haaaaahaa atakua anakaa na Diamond uyu hawezi kurudi Tandale ni kweli ilikua jana usiku sana kama 8 ivi ngoja aje warumi atuambie uyu RJ anakaa wapi maana ana exposure na hawa watu.
inawezekana halafu hamegi kisela kweli huyu??
 
Picha ipi tena iliovuja mbona unaleta hekaheka za moyo embu fanya kutujuza wengine Darisalama mpk kutokee msiba ndio tuje.

Hahaaa namaanisha ile iliyotoka akiwa bila makeup yupo saluni alafu kasuka twende kilioni
 
Hahaaa namaanisha ile iliyotoka akiwa bila makeup yupo saluni alafu kasuka twende kilioni

Haaaahaaa nimekusoma binamu nlijua tayari zile za mambo yetu kumbe ila kasuka twende kilioni nliing'aza umu JF.
 
Du jamani wema ana sura baya anatisha kwakweli yani surq yake inafaaa kumtishia mtoto asiyependa kula au mlizi
 
Jamani imetosha mbavu zinaniumaaa lol

Huyu demu hukoalipo kama ni mzuri ongera zake lakini namini mwanamke mbaya kazi yake ni kutukana wenzake na kujiona yy bora weka pocha yako tukuone kama ninaweza hata kukutokea nyambafu
 
Ha ha ha mi mwenyewe namuheshimu hadi naumwaaaa

Nilisikiaga story za hao watu, kipindi kile wema alivyoachana na ndomo, akawa anamganda rommy amsaidie warudiane na ndomo, nasikia wakaenda hadi kwa waganga rommy na wema ili ndomo amrudie wema, nasikia wema alimuaid romy atamnunulia gari endapo watafanikiwa, basi bhana mambo yakawaendea poa, hlo gari alilipata basi? Nasikia kaambulia s4 , mjini kuna vituko hatar
 
Nasikia huyo rommy anapenda sana ofa, had walimfanyag vby
 
Ha ha ha kweli diamond sukari ya warembo...
 

Hahahaha asa huyo romy diamond si ndugu yake!
 
Hahahaha asa huyo romy diamond si ndugu yake!

Kabisaa, si unajua tena mjini apa, nasikia romy na halima kimwana wanamroga sana ndomo hawasikilize wao tu, yaan hawatak kumuona ndomo akiwa karibu na mtu yeyote zaidi yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…