Miss tz no3 jiandae almasi atakupitia.

Wingu

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,318
Reaction score
404
Dogo hafai anapiga kwa series.Kaanza no1 kaja 2 nadhani mnafahamu namba inayofuata.
 
Ngoja wanaomjua watakuja
 
Mimi No 5, naona kama zamu yangu mbali?
 
watajirusha sana na mwisho wataanguka...si mnakumbuka enzi za kina JUMA NATURE, MR. NICE na wengineo? mwache asifiche hivyo visent vyake aendelee kuvitumbua na makahaba akidhani wakati unamsubiri!
 
wachaaa dogoo aoshee rungu....hakunaa mapenziii yalee ya kugandanaaaa....tukipenda tunamalizanaa leo leo tu!!!
 
No. 3 si mtoto Lisa Jensen ambaye kauza sura katika ngoma yake ya Mawazo!!!!!
 
ni wkt wake sasa kulipiza enzi zile anashindia chai na ki2mbua ki1 pale kwa mtogole alikua akisoma kwenye magazeti kakazake walivyokuwa wanavinjari na warembo so nayeye anaonyesha ukidume wake na kma ujuavyo waTz 2na kamsemo UKIZIPATA ZI2MIE UKIZIKOSA ZIJUTIE simtabirii mabaya ila wkt ni ukuta cku c nyingi atalia na kujuta.
 
atakuwa ameshaanza ndogo ndogo. Si ulimuona kamshirikisha kwenye video yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…