Miss World atua Arusha, hajaamini kama hapa duniani kuna pepo

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Miss World ashangazwa na uzuri wa Arusha, amuomba rais kibali maalumu cha kujenga nyumba Tanzania



Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo akimpa zawadi ya maua Miss World, Vannesa Ponce mara baada ya kuwasili mwishoni mwa wiki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), kulia ni Miss Tanzania, Sylivia Sebastian.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…