KERO Missenyi, Kagera: Watoto hawana vyoo salama Shule ya Msingi Mugana 'A'

KERO Missenyi, Kagera: Watoto hawana vyoo salama Shule ya Msingi Mugana 'A'

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
photo_2025-01-13_13-11-14.jpg
Jamani,

Hivi suala la kujengea Wanafunzi vyoo ni la wakina nani? Maana kuna shule moja Wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera inaitwa "Mugana A" kwakweli hali sio nzuri.

Vijana hawana vyoo salama kabisa, sasa sijajua wahusika hawapo, make hili tatizo lina muda mrefu na hali inazidi kuwa mbaya kwani pamoja na kuwa vyoo ni vichache bado vimechakaa, havina miundombinu ya maji; jambo ambalo ni hatarishi kwa vijana wetu.

Naombeni wahusika muwafikirie Watoto hawa na mvae uhusika kama nanyi watoto wenu wangesomea mazingira hayo.
photo_2025-01-13_12-09-00.jpg

photo_2025-01-13_12-09-01.jpg

photo_2025-01-13_12-09-02.jpg

photo_2025-01-13_12-22-34.jpg

Screenshot 2025-01-10 12.39.34 PM.png
kielelezo:hizo ni baadhi ya picha za vyoo hivyo
 
Back
Top Bottom