busha
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 1,712
- 2,577
Mpango wa GSM kuwa mdhamini mwenza unaanza kukutana na changamoto.
Nadiriki kusema kwamba mapungufu ya mkataba yasingejadiliwa kama:-
1) Mbele ya media kusengekua na sura za uyanga wakati wa utiaji saini wa mkataba.
2) Post tata za Manara mitandaoni kuhusu kuwamiliki Simba kupitia mkataba wa GSM kwenye udhamini mwenza ligi kuu ya NBC.
3) TFF na Body ya ligi kutumia nguvu kubwa kuliko busara kwenye swala la Simba kuvaa nembo za GSM.
GSM wajipange upya wanalolitaka litatimia kwa busara.
Nadiriki kusema kwamba mapungufu ya mkataba yasingejadiliwa kama:-
1) Mbele ya media kusengekua na sura za uyanga wakati wa utiaji saini wa mkataba.
2) Post tata za Manara mitandaoni kuhusu kuwamiliki Simba kupitia mkataba wa GSM kwenye udhamini mwenza ligi kuu ya NBC.
3) TFF na Body ya ligi kutumia nguvu kubwa kuliko busara kwenye swala la Simba kuvaa nembo za GSM.
GSM wajipange upya wanalolitaka litatimia kwa busara.
