Wazee wa kuhamisha magoli mshaanza fujooTatizo hamuelew.... Tulitaka kuwatoa kimchezo......GSM tuna mbinu 900
Hata moo ni branch ya GSM
Mpango wa gsm kuwa mdhamini mwenza unaanza kukutana na changamoto.
Nadiriki kusema kwamba mapungufu ya mkataba yasingejadiliwa kama:-
1)mbele ya media kusengekua na sura za uyanga wakati wa utiaji saini wa mkataba.
2)Post tata za Manara mitandaoni kuhusu kuwamiliki Simba kupitia mkataba wa gsm kwenye udhamini mwenza ligi kuu ya NBC.
3)TFF na Body ya ligi kutumia nguvu kubwa kuliko busara kwenye swala la Simba kuvaa nembo za gsm.
GSM wajipange upya wanalolitaka litatimia kwa busara.
Watakuwa na kimavi cha hatari hawa mawakili kila wanalosimamia linabuma.Sura zile zile zilizopigwa za uso huko Cas ndo hizo hizo zilizotia saini ya udhamini wenza wa ligi kuu, hii nchi haiishi vituko [emoji23]
Ushakufa ww unarusha miguu tu hapaTatizo hamuelew.... Tulitaka kuwatoa kimchezo......GSM tuna mbinu 900
Hata moo ni branch ya GSM
Hatuhitaji sapoti katika kusimamia kanuni zinazosimamia mchezo wa mpira wa miguu.Mkataba wa GSM na tff upo pale pale,busara imetumika ili tu kesho msikimbie,baada ya hapo ndio mtajua hamjui,hamna sapoti ya timu hata 2 kwenye ligi yenye timu 16,tunawasubiri mkagomee mabango mkicheza na kmc ili tuanze kuwanyoosha kikanuni
manara ana pepo la kufitinisha na kufakarakanisha.2)Post tata za Manara mitandaoni kuhusu kuwamiliki Simba kupitia mkataba wa gsm kwenye udhamini mwenza ligi kuu ya NBC.
GSM hakua na mpango wa kudhamini ligi ila alifatwa.Mpango wa gsm kuwa mdhamini mwenza unaanza kukutana na changamoto.
Nadiriki kusema kwamba mapungufu ya mkataba yasingejadiliwa kama...
Wanaosimamia kanuni ya mpira wetu ndio washasema,wewe upinge nani,busara imetumika ili kesho mlete timu lenu tulibutue goli za kutosha,baada ya kesho ugomee tena match zijazo ili ukutane na kitu kizito cha utosi,GSM bado mdhamini mwenza wa ligi yetu na kwa umbumbu wenu mnadhani mtashinda hii challenge while ligi ina ina timu 16 then huu umbumbu mpo peke yenu,hamna timu yoyote inayowaunga mkonoHatuhitaji sapoti katika kusimamia kanuni zinazosimamia mchezo wa mpira wa miguu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sasa hapo ndo wataharibu... Hv watawalazimishaje Simba au club ingine kuvaa na kuweka mabango ikiwa mechi ya kwanza iliopaswa kuwekwa yalitolewa tena bora wangezuga wasiweke kabisa ila wameweka kisha wakayatoa unapataje moral authority ya kulazimisha tena.. Ukiulizwa kwa nini ulitoa kama hakukuwa na makando makando utasema nini? Kuwa Busara ilitumika...Mkataba wa GSM na tff upo pale pale,busara imetumika ili tu kesho msikimbie,baada ya hapo ndio mtajua hamjui,hamna sapoti ya timu hata 1 kwenye ligi yenye timu 16,tunawasubiri mkagomee mabango mkicheza na kmc ili tuanze kuwanyoosha kikanuni
Kesho kuna match nyingine,na timu zitavaa nembo ya gsm na mabango yatakuwepo,tunawasubiri kolo wakienda kucheza na kmc kama mabango yatatolewa na wasipovaa nembo faini,kesho imetumika busara tu ili wasikimbieSasa hapo ndo wataharibu... Hv watawalazimishaje Simba au club ingine kuvaa na kuweka mabango ikiwa mechi ya kwanza iliopaswa kuwekwa yalitolewa tena bora wangezuga wasiweke kabisa ila wameweka kisha wakayatoa unapataje moral authority ya kulazimisha tena.. Ukiulizwa kwa nini ulitoa kama hakukuwa na makando makando utasema nini? Kuwa Busara ilitumika...
Mpira wa Nchi hii unaharibiwa na Busara kutumika.. Yanga waligomea rangi za NBC ikatumika Busara... Na leo tena ya Simba na GSM so TFF wakisema Busara itumike ndo wameharibu zaidi
Bora TFF wajiangalie upya...
kwamba simba kampiga mbupu GSM.Hii ndo kitu Simba kamfanya GSMView attachment 2039718
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app