Janja janja kaona hamumtangazi kimataifa ameamua kupitia uwanja wa uwani atangazwe na mnyama simbaWanaosimamia kanuni ya mpira wetu ndio washasema,wewe upinge nani,busara imetumika ili kesho mlete timu lenu tulibutue goli za kutosha,baada ya kesho ugomee tena match zijazo ili ukutane na kitu kizito cha utosi,GSM bado mdhamini mwenza wa ligi yetu na kwa umbumbu wenu mnadhani mtashinda hii challenge while ligi ina ina timu 16 then huu umbumbu mpo peke yenu,hamna timu yoyote inayowaunga mkono
View attachment 2039837
Money talk,ndoa ya mikia na tff ya karia iliyowabeba mikia kwa miaka 4 ndio imeishia hapo,kolokwinyo msitegemee fair yoyote toka tff kwa sasa,na tff inawasubiri match zijazo mje na upupu kama huu,nyie nani hii weekend azam fc atavaa logo ya GSM na mabango yatakuwepo uwanjani,tunawasubiri mikia next matches mgomeeJanja janja kaona hamumtangazi kimataifa ameamua kupitia uwanja wa uwani atangazwe na mnyama simba
View attachment 2039867
Unadhani kuna club wajinga kama Yanga?!!..Mkataba wa GSM na tff upo pale pale,busara imetumika ili tu kesho msikimbie,baada ya hapo ndio mtajua hamjui,hamna sapoti ya timu hata 1 kwenye ligi yenye timu 16,tunawasubiri mkagomee mabango mkicheza na kmc ili tuanze kuwanyoosha kikanuni
Haiwezi kua imefeli mpaka sasa tayari amewin katika tumemtangaza zaidi kuliko simba wange kubali kuivaa
Tatizo Yanga wanajiona ndo wadhamini Wenza wa ligi. Kwa siasa za Simba na Yanga huu mkataba utavunjwa tuMpango wa gsm kuwa mdhamini mwenza unaanza kukutana na changamoto.
Nadiriki kusema kwamba mapungufu ya mkataba yasingejadiliwa kama:-
1)mbele ya media kusengekua na sura za uyanga wakati wa utiaji saini wa mkataba.
2)Post tata za Manara mitandaoni kuhusu kuwamiliki Simba kupitia mkataba wa gsm kwenye udhamini mwenza ligi kuu ya NBC.
3)TFF na Body ya ligi kutumia nguvu kubwa kuliko busara kwenye swala la Simba kuvaa nembo za gsm.
GSM wajipange upya wanalolitaka litatimia kwa busara.
Simba ni kubwa zaidi ya hivyo vitimu 15 vilivyobakiMkataba wa GSM na tff upo pale pale,busara imetumika ili tu kesho msikimbie,baada ya hapo ndio mtajua hamjui,hamna sapoti ya timu hata 1 kwenye ligi yenye timu 16,tunawasubiri mkagomee mabango mkicheza na kmc ili tuanze kuwanyoosha kikanuni
Mnatafuta Ubingwa kwa gharama kubwa mno.Mkataba wa GSM na tff upo pale pale,busara imetumika ili tu kesho msikimbie,baada ya hapo ndio mtajua hamjui,hamna sapoti ya timu hata 1 kwenye ligi yenye timu 16,tunawasubiri mkagomee mabango mkicheza na kmc ili tuanze kuwanyoosha kikanuni
Kumbe Emirates nae kaona Madrid haitangazi vyema ndiyo maana akaenda Arsenal? Akaenda Ac Millan? Akaendaga PSG? nilikuwa sijajua aisee.Janja janja kaona hamumtangazi kimataifa ameamua kupitia uwanja wa uwani atangazwe na mnyama simba
View attachment 2039867
Umefanya wapi huu utafiti au ni hisia zako?Bahati mbaya watanzania hatupo hapo ulipo wewe!Hivi huoni kama GSM anawapoteza wateja ambao ni mashabiki wa Simba kwa ajili ya chuki inayojengeka kuwa analeta uhuni katika ligi.Amini nakwambia,hii inamuharibia zaidi GSM kibiashara kuliko unavyofikiria.Hawa kina na Manara ni swala la muda tu,atakuja kuwaona ni liability kwake
Haviendani na ulichokiandika hapa 👆 bosi wenu janja janja sanaKumbe Emirates nae kaona Madrid haitangazi vyema ndiyo maana akaenda Arsenal? Akaenda Ac Millan? Akaendaga PSG? nilikuwa sijajua aisee.
Iyo picha ya mawakili wa Yanga, ndio zile tabia mpo ofisi then mmoja wenu anasema embu tupige selfie chap .....ukitazama pozi lao tu, wanajofanyaaaa busyWatakuwa na kimavi cha hatari hawa mawakili kila wanalosimamia linabuma.View attachment 2039770
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Timu 15 zimekubali ni moja ndio imefeli,sasa unasema mission failed?Mpango wa GSM kuwa mdhamini mwenza unaanza kukutana na changamoto.
Nadiriki kusema kwamba mapungufu ya mkataba yasingejadiliwa kama:-
1) Mbele ya media kusengekua na sura za uyanga wakati wa utiaji saini wa mkataba.
2) Post tata za Manara mitandaoni kuhusu kuwamiliki Simba kupitia mkataba wa GSM kwenye udhamini mwenza ligi kuu ya NBC.
3) TFF na Body ya ligi kutumia nguvu kubwa kuliko busara kwenye swala la Simba kuvaa nembo za GSM.
GSM wajipange upya wanalolitaka litatimia kwa busara.
Timu 15 zimekubali ni moja ndio imefeli,sasa unasema mission failed?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app