Misso Misondo ni mgodi wa kuvuna hela nje ya nchi. creativity yake ikipata promoters wazuri inauzika dunia nzima

Misso Misondo ni mgodi wa kuvuna hela nje ya nchi. creativity yake ikipata promoters wazuri inauzika dunia nzima

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
nilikuwa namchukulia poa misso misondo wakati anatrend mwanzoni.

ila nimegundua sio mtu poa huyu kijana. kila siku anabuni biti mpya na unakuta kali kuliko ile ya zamani.

ushauri wangu kwake ajiongeze apate mtu wa kumuandikia na mistari kidogo tena iwe ya kiswangilish.. kiingereza kwa mbalii maana soko la nje lazima uweke na kizungu kidogo kama diamond anavyofanya.

sample za biti zake anazozitengeneza miso misondo zina vibe sana. kuliko hata za maproducer wazoefu

Madansa wake wabadilishwe wawe kama waimbaji na madansa.. kwenye performance wasiwe wanacheza tu na makoti yao machafu kila siku, wawe wanabadilika badilika . .. wawe wanatia vibe kwa kuimba pia nyimbo zao za vibwagizo tu

cabbo snoop alipiga sana hela africa nzima kwa vibe tu, naona misso nae ana uwezo huo


TAZAMA UBUNIFU WA BITI YA MISO MISONDO KWENYE NYIMBO YA MAJONZI MISIBANI TUTAONANA TENA

 
Sawa yuko vzr na hata kwenye interview yake na miladi kajibu kiumakini sana ila sample ya hizo beat ungekuwa unaishi kusini ungeona ni za kawaida sana
 
There's trending for the right reasons and for the wrong reasons

Tutajuaje anatrend kwa wazungu kisa wanapenda midundo yake au kisa wanachekeshwa na hiyo midundo na jinsi inavyochezwa hovyo

Au kucheka kwa kudharau ni sawa na kupenda?
 
Ndio maana nikasema Vaa yao ilipaswa iwe inabadilika badilika sio same dress code tu kila siku
Miso misondo amepata umaarufu nchi ya wajinga wajinga.

Ubunifu wake si lolote si chochote ni sawa naiquid Piere tu na hii ni suala la muda
 
Back
Top Bottom