Misso Missondo ndiye Dj pekee wa ukweli Tanzania

Misso Missondo ndiye Dj pekee wa ukweli Tanzania

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Siku zote nawaonaga maDj wa bongo miyeyusho na tofauti sana na madj wa wenzetu. MaDj wa wenzetu huko mbele hutoa album, humix beats na kufanya kolabo na wanamuziki mbalimbali. Mdj wetu wengi (kama siyo wote) kazi yao kubwa ni kupiga playlist. Udj wa kimchongo mchongo. Kaja huyu bwana Mdogo Misso Misondo. Anafanya Udj wake kama mbele. Anaunda mix zake na kutoa nyimbo. Nyimbo zake mwenyewe. Hata anaweza kutoa album yake. Huyu sasa ndiye Dj halisi kwa level za sasa za kimataifa.


View: https://youtu.be/Xdyw6Rk1h2k?si=NVf55UC47dKpHJjF
 
Go on misso missondo achana na kina mafuvu na mwenzie summer mzee wa mapoda
 
Back
Top Bottom