Crispin Nyoni
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 413
- 90
Kwanza shikamoo daktari/Mtaalam/Mwenye kujua utatuzi wa shida hii. Habari za huko nyumbani. Natumaini hujambo. Mimi ni kijana wa miaka 32.
Nina tatizo kwamba macho yangu yana mistari mingi myekundu na jicho hili la kulia kwa juu hapa pana kama kangozi fulani kekundu. Kwa hiyo nakuomba unijulishe hili ni tatizo gani? Na unanisaidiaje katika kulitibu.
Ndimi Crispin Nyoni.
Nina tatizo kwamba macho yangu yana mistari mingi myekundu na jicho hili la kulia kwa juu hapa pana kama kangozi fulani kekundu. Kwa hiyo nakuomba unijulishe hili ni tatizo gani? Na unanisaidiaje katika kulitibu.
Ndimi Crispin Nyoni.