DOKEZO Mistari ya Zebra barabara za Kisemvule - Mkuranga Mkoani Pwani imefutika katika maeneo mengi

DOKEZO Mistari ya Zebra barabara za Kisemvule - Mkuranga Mkoani Pwani imefutika katika maeneo mengi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Nyakijooga

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
276
Reaction score
473
Mji wa Kisemvule - Mkuranga Mkoani Pwani umekuwa na ongezeko la watumia barabara kadiri siku zinavyoenda mbele.

Hali hiyo imesababisha kuwa na ongezeka la kufutika kwa alama za pundamilia zilizowekwa barabarani hasa eneo la stendi, stendi ya zamani na Msikiti Mweupe.

Mbali na hapo madereva wamekuwa na kawaida ya kutoheshimu zebra hizo hata zikiwemo.

Tunaomba ikiwezekana taa za barabarani ziwekwe kwa ajili ya kivuko katika maeneo niliyotaja, pia Serikali inaweza kuweka matuta au zebra zichorwe upya na kuwepo na Askari Trafiki hasa muda wa Jioni ambapo kunakuwa na vurugu nyingi barabarani.

===========
408219441_3644557499158100_9222006060543051397_n.jpg

Snapinst.app_311581149_665288705198856_1243603187022914458_n_1080.jpg
 
Taa za barabarani sio suruhu. Ni madereva kutii tu.
 
Mji wa Kisemvule - Mkuranga Mkoani Pwani umekuwa na ongezeko la watumia barabara kadiri siku zinavyoenda mbele.

Hali hiyo imesababisha kuwa na ongezeka la kufutika kwa alama za pundamilia zilizowekwa barabarani hasa eneo la stendi, stendi ya zamani na Msikiti Mweupe.

Mbali na hapo madereva wamekuwa na kawaida ya kutoheshimu zebra hizo hata zikiwemo.

Tunaomba ikiwezekana taa za barabarani ziwekwe kwa ajili ya kivuko katika maeneo niliyotaja, pia Serikali inaweza kuweka matuta au zebra zichorwe upya na kuwepo na Askari Trafiki hasa muda wa Jioni ambapo kunakuwa na vurugu nyingi barabarani.

===========
Mitano tena
 
Back
Top Bottom