The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Ukitumia jicho la tatu utagundua kwamba aina ya misukosuko wanayopitia ndugu zetu inawakomaza sana.
Yaani ukiwa kiongozi wa hiyo jamii haikupi muda hata wa kuhudhuria matamasha hadi kuwaita wanyama majina ya watu.
Hali hiyo inawafanya raia wao wawe majasiri washindani na wenye uthubutu mkubwa sana kwenye dunia yenye kila ushindani.
Kinyume chake ni kwamba mahali ambapo watu hawana muda wa kuhoji masuala mazito na wanahoji pet issues viongozi wao hulala na kuanza kufanya vitu vya kijingajinga.
Yaani mara gen z hujakaa sawa mgomo wa madaktari kabla hujakaa sawa walimu wagoma.
Yaani ukiwa kiongozi wa hiyo jamii haikupi muda hata wa kuhudhuria matamasha hadi kuwaita wanyama majina ya watu.
Hali hiyo inawafanya raia wao wawe majasiri washindani na wenye uthubutu mkubwa sana kwenye dunia yenye kila ushindani.
Kinyume chake ni kwamba mahali ambapo watu hawana muda wa kuhoji masuala mazito na wanahoji pet issues viongozi wao hulala na kuanza kufanya vitu vya kijingajinga.
Yaani mara gen z hujakaa sawa mgomo wa madaktari kabla hujakaa sawa walimu wagoma.