Misuko mipya ya yebo yebo 2018

Numbisa

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2016
Posts
301,221
Reaction score
1,172,274
Wanawake wengi wa kiafrica hupenda kusuka nywele mbalimbali lakini wengi wao sikuhizi hupenda kusuka mtindo ujulikanao kwa jina la yeboyebo ,mtindo huu hutumia rasta zaidi ili kuweza kuwa na mvuto .

Mtindo huu husukwa sana na watu wote kwa kuwa umeonekana hauna madhara kwa mtu yeyote wakiwemo wadada,wamama, pamoja na watoto

Msusi wa yeboyebo hutumia masaa mawili au moja na nusu kuweza kummaliza mteja wake kwani kuna baadhi ya misuko mingine huchukua zaidi ya masaa manne kuweza kukamilika .

Yeboyebo imeonenekana kushika chati kwa kwa kasi kwani wanawake wengi husuka msukohuo tofauti na misuko mingine .
[

Misuko mingine inaendelea ndani ya uzi huu
 
Huo wa pili na wa tatu kutoka mwisho ni bei gani na rasta zaweza tumika bonda ngapi??
 
Yani hapa kuna mmoja huo nautamani balaa nikitoka kutoa hili weaving nasuka kwa kweli
 
kuna misuko ya kishamba hapo puuh...sema michache iko poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…