Chajuu lazima kabisaKama najiona vile ninavyokuja kupigwa kizinga cha saloon....
By the way zile pesa mnazotuombaga za kusuka, ni bei halisi au huwa mnapiga cha juu?
Nakutafuta pm babu...Chagua msuko hapo nikupeleke saluni fasta!
Sipendi ujue sipendi kuharibiana dili za watu
Wenye nywele zenu mkapendeze mimi team weaves/wigs until further notice
Mizuri sana sasa misuko hiyo si mpaka uwe na nywele nyuing maana mm mke wangu ananywele 2 tu kinyonyoke alaf nywele zake nyepesi sana kafanya kila jitihad wap
Hata rasta,mie nywele zang ni ngumu kama katani,na zinatelezana na rasta,nikisuka wiki zimefumuka...kukatika sas dah!!mpaka niliachaga kusuka yebo mana huku mbele na pemben hua hapatamanikihusukagi? weaves zakata sana nywele aisee
Mi ni msusi. Wadada wote nitafuteni nitawasuka bureeee
\Hata rasta,mie nywele zang ni ngumu kama katani,na zinatelezana na rasta,nikisuka wiki zimefumuka...kukatika sas dah!!mpaka niliachaga kusuka yebo mana huku mbele na pemben hua hapatamaniki
Bora uwe unasuka kuliko na kuvaa hizo weavingYani hapa kuna mmoja huo nautamani balaa nikitoka kutoa hili weaving nasuka kwa kweli
Sisukagi. Nikisuka hata minyoosho naumwa kichwa. Rasta ndo nikisukwa mwili unasisimkwa kama nimeona kitu. Acha nipambane na weave na mawig tuu. Rasta naishiaga kusifia watu tu.husukagi? weaves zakata sana nywele aisee
Sisukagi. Nikisuka hata minyoosho naumwa kichwa. Rasta ndo nikisukwa mwili unasisimkwa kama nimeona kitu. Acha nipambane na weave na mawig tuu. Rasta naishiaga kusifia watu tu.
Mi sijui kama ni yenyewe ila rasta jamani hapanaduh pole!huenda una shida..kuna dada ana mashetan hayatak kbs mbwembwe hizi
Karibu sana... tena uje without kabisa....Nakutafuta pm babu...
Babu huachiiiKaribu sana... tena uje without kabisa....
Na wewe ukuje bathi...Babu huachiii
Hahhaaaaaa haya nitafata ushauri wakoBora uwe unasuka kuliko na kuvaa hizo weaving
SawaHahhaaaaaa haya nitafata ushauri wako
Mke wangu namaanisha WiFi mke wa kaka yangu...ni kweli mimi ni K na leba naijua vizuri sana na uyo mtoto ninae.duh!leo umegeuka jinsia? nakumbuka kuna siku ulisema mwanao kachukulliwa na babake mwanza!