Misukosuko: Bongo Movie Part 1,2,3

Misukosuko: Bongo Movie Part 1,2,3

-mseto_

Member
Joined
Jul 30, 2017
Posts
92
Reaction score
47
Movie za mapigano Bongo zinakwama wapi asee, naona tumerudi kwenye tamthilia za masimulizi nazo bado stori zile zile unaikumbuka Misukosuko, na Penzi la Misukosuko.

Uliangalia ulikuwa kibanda umiza au we wakishua uliangalizia home. Nakumbuka enzi izo baada ya kuangalia movie mnatoka nje kwenda kujarib mapigo, time iko kasi sana.



Screenshot_20200228-063935.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tujazie jazie move huko kwenye account yako tuburudike
 
Naombeni jina la ule wimbo ambao unaimba wakiwa Disko. Wimbo fulani wa kuchezeka anaimba mwanamke na mwanaume, ni wimbo maarufu sema tu mafaili yangu yamechanganyikana kidogo
 
Naombeni jina la ule wimbo ambao unaimba wakiwa Disko. Wimbo fulani wa kuchezeka anaimba mwanamke na mwanaume, ni wimbo maarufu sema tu mafaili yangu yamechanganyikana kidogo
Za mwizi ni arobaini? Au upi
 
Naombeni jina la ule wimbo ambao unaimba wakiwa Disko. Wimbo fulani wa kuchezeka anaimba mwanamke na mwanaume, ni wimbo maarufu sema tu mafaili yangu yamechanganyikana kidogo
Girl yuh ah lead- T.O.K ft nina sky
 
Hv Cobra squad ya wakenya nani anaikumbuka?

Na ile bongo movie moja alikuwepo dada mmoja wazazi wake waliuliwa utotoni akatengana na mdogo wake wa kiume. Mdogo wake wa kiume akaja kuwa judge/polisi (sikumbuki vzr) huyo manzi yeye akawa jambazi anawasaka waliowauwa wazazi wao. Manzi akaja kukamatwa na aliekua anasimamia hio kesi ni huyo mdogo wake wa kiume.

Hizo ndo zilikua movie aiseee
 
Naombeni jina la ule wimbo ambao unaimba wakiwa Disko. Wimbo fulani wa kuchezeka anaimba mwanamke na mwanaume, ni wimbo maarufu sema tu mafaili yangu yamechanganyikana kidogo
Shakira- hips don't lie
 
Hv Cobra squad ya wakenya nani anaikumbuka?

Na ile bongo movie moja alikuwepo dada mmoja wazazi wake waliuliwa utotoni akatengana na mdogo wake wa kiume. Mdogo wake wa kiume akaja kuwa judge/polisi (sikumbuki vzr) huyo manzi yeye akawa jambazi anawasaka waliowauwa wazazi wao. Manzi akaja kukamatwa na aliekua anasimamia hio kesi ni huyo mdogo wake wa kiume.

Hizo ndo zilikua movie aiseee
Inaitwa TANZIA ya muda murefu sana alicheza Dude,Joan Chilo na Frank Mwikonge
 
Back
Top Bottom