nilisindikiza rafiki yangu sekondari kutibu hiyo kitu...aliparamia mtoto wa kimanga akalizoa... kijana kwao shy... kaugilia mwanza shulen afu boarding na geti kali....kpumia zanahanai ya shule kagoma......tumienda hospitali akaambiwa no tiba hadi aje na mwenzi wake waloambukizana..
Alijuta...