Pre GE2025 Misungwi: Watu wenye ulemavu waomba mazingira wezeshi kupiga kura

Pre GE2025 Misungwi: Watu wenye ulemavu waomba mazingira wezeshi kupiga kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Watu wenye ulemavu wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza wameiomba serikali kuwawekea mazingira wezeshi ya kupiga kura kwa kuwawekea karatasi zenye maandishi ya nukta nundu yatakayowawezesha kupiga kura bila kusaidiwa na mtu yeyote.

Wamesema kutokana na zoezi la upigaji kura kuwa la siri kwa mtu anayetaka kuwachagua viongozi awapendao hivyo wakiwekewa karatasi zenye maandishi hayo yatawasaidia kuwapigia kura viongozi wanaowataka.

Kwa upande wake diwani wa kata ya Usagara ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Misungwi, Kashinje Machibya amesema hoja hiyo ni ya msingi hivyo kuahidi kulifikisha suala hilo kwenye ngazi husika.
 
Watu wenye ulemavu wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza wameiomba serikali kuwawekea mazingira wezeshi ya kupiga kura kwa kuwawekea karatasi zenye maandishi ya nukta nundu yatakayowawezesha kupiga kura bila kusaidiwa na mtu yeyote.

Wamesema kutokana na zoezi la upigaji kura kuwa la siri kwa mtu anayetaka kuwachagua viongozi awapendao hivyo wakiwekewa karatasi zenye maandishi hayo yatawasaidia kuwapigia kura viongozi wanaowataka.

Kwa upande wake diwani wa kata ya Usagara ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Misungwi, Kashinje Machibya amesema hoja hiyo ni ya msingi hivyo kuahidi kulifikisha suala hilo kwenye ngazi husika.

PIA SOMA

- Kuelekea 2025 - Misungwi: Watu wenye ulemavu waomba mazingira wezeshi kupiga kura
 
Back
Top Bottom