kindikinyer leborosier
JF-Expert Member
- Jan 6, 2018
- 456
- 833
Nawasalim
Moja kwa moja kwenye mada, nimejaribu kuchunguza kwa muda mrefu mabafu ya ke, unakuta miswaki mingi kweli, imewekwa.
Mwanzo nilijua labda ya kuswakia, lakini nilikuja kukataa hoja hiyo baada ya kukuta bafu lingine kuna kopo hiv humo ndani ameweka na sabuni pamoja na dodoki!
Nauliza tuu, lengo ni kutaka kujua, kama ni kufanya usafi baadh ya sehemu, ni sehem gani hizo?
Moja kwa moja kwenye mada, nimejaribu kuchunguza kwa muda mrefu mabafu ya ke, unakuta miswaki mingi kweli, imewekwa.
Mwanzo nilijua labda ya kuswakia, lakini nilikuja kukataa hoja hiyo baada ya kukuta bafu lingine kuna kopo hiv humo ndani ameweka na sabuni pamoja na dodoki!
Nauliza tuu, lengo ni kutaka kujua, kama ni kufanya usafi baadh ya sehemu, ni sehem gani hizo?