kindikinyer leborosier
JF-Expert Member
- Jan 6, 2018
- 456
- 833
bafu na vyoo kwa pamoja, unakuta unamtembelea, wakati mwingine unaingia kupunguza maji!!WEWE UNAFUATA NINI KWENYE MABAFU YA KIKE???!!
no lengo langu si hilo, mawazo yangu yalikua labda wanatumia kusugulia kwapa, boss unawaza kuchakata sana!! hili ni jukwaa la urembo nautanashati..Kusugulia papuchi.
Ndio jibu unalotaka kulisikia.
Mama D ninakusubiri siti ya mbelenawasalim!
moja kwa moja kwenye mada, nimejaribu kuchunguza kwa muda mrefu mabafu ya ke, unakuta miswaki mingi kweli, imewekwa!
.
.
mwanzo nilijua labda ya kuswakia, lakini nilikuja kukataa hoja hiyo baada ya kukuta bafu lingine kuna kopo hiv humo ndani ameweka na sabuni pamoja na dodoki!
.
.
nauliza tuu, lengo ni kutaka kujua, kama ni kufanya usafi baadh ya sehemu, ni sehem gani hizo??
vyumba vya kupanga siku hizi unakuta bafu na choo hua sehemu moja,,Wapi kuna mabafu ya kike na ya kiume? Mi nimewahi kuona vyoo vya kike na vya kiume tu
asante sana, sikua najua!! nimepata jibu sahihi,,
Ulikuwa ni mtego wao kujua ni mwanaume gani anaingiaga kwenye choo cha kike.watakuzingua kwa udharirishajinawasalim!
moja kwa moja kwenye mada, nimejaribu kuchunguza kwa muda mrefu mabafu ya ke, unakuta miswaki mingi kweli, imewekwa!
.
.
mwanzo nilijua labda ya kuswakia, lakini nilikuja kukataa hoja hiyo baada ya kukuta bafu lingine kuna kopo hiv humo ndani ameweka na sabuni pamoja na dodoki!
.
.
nauliza tuu, lengo ni kutaka kujua, kama ni kufanya usafi baadh ya sehemu, ni sehem gani hizo??
hahhaha! acha basi! haiwezi kua kweli,Ulikuwa ni mtego wao kujua ni mwanaume gani anaingiaga kwenye choo cha kike.watakuzingua kwa udharirishaji
NipoooHaji huyo