Uchaguzi 2020 Mitaani hoja "CHADEMA imekufa" sijui MATAGA ya humu!

Chadema ki uhalisia imepoteza nguvu kwa kiasi kikubwa kilichobaki ni kuwapa mafuta na posho bodaboda watengeneze nyomi. CCMTanzania political power house wana test na kuweka mitambo yao sawasawa kwa sasa.
 
Aah hakika!
 
Chadema ki uhalisia imepoteza nguvu kwa kiasi kikubwa kilichobaki ni kuwapa mafuta na posho bodaboda watengeneze nyomi. CCMTanzania political power house wana test na kuweka mitambo yao sawasawa kwa sasa.
Sasa hivi Ni mwendo wa kukodi bodaboda
 
Unanunua mmoja unawaudhi elfu moja!
 
Hata hiyo kambi ya kijani kuna makundi mawili, wahutu (Rohombaya) na wa kawaida (wenye tuu) amini usiamini wenye utu hawawezi kumpa kura muhutu yeyote
 
Unanunua mmoja unawaudhi elfu moja!
Anaacha kuwanunua wapiga kura eti ananunua wanaopigiwa kura, wazo la kijinga kabisa hili limeshindwa kuwaletea tija.Huwezi uwa upinzani kwa kuwafanya wananchi wawe masikini.
 
Hata hiyo kambi ya kijani kuna makundi mawili, wahutu (Rohombaya) na wa kawaida (wenye tuu) amini usiamini wenye utu hawawezi kumpa kura muhutu yeyote
Ccm Ni chaka la ukimbizi wa wahamiaji haramu waliofata malisho ya mifugo nchini kwetu wakanifichia humo,tunawatambua kwa roho zao chafu za kuuwa watz wenzetu,kila ukaribiapo uchaguzi lzm yamwage damu zetu kulinda matumbo yao.
 
Chadema ki uhalisia imepoteza nguvu kwa kiasi kikubwa kilichobaki ni kuwapa mafuta na posho bodaboda watengeneze nyomi. CCMTanzania political power house wana test na kuweka mitambo yao sawasawa kwa sasa.
Mbona sheria kandamizi nyingi Sana za kuwalenga chadema hasa kipindi hiki cha uchaguzi
 
Mbona sheria kandamizi nyingi Sana za kuwalenga chadema hasa kipindi hiki cha uchaguzi
Unafikili hiyo hajui? Ndio wahusika wenyewe hao wanatungiwa sheria kandamizi wanatoa macho na kushangilia, likimgusa ndio anagundua
 
Kwa akili yako unaona chadema ile ya kabla ya 2015 ipo huku mitaani?
maisha halisi imefanya iwepo moyonibmwa watu na si mtaani Tena only mwny kuvuna pesa au mtarajia pesa ndo utamsikia ccm oyeeeeee
 
Kwa akili yako unaona chadema ile ya kabla ya 2015 ipo huku mitaani?
Usichojua ni kwamba 2015 CHADEMA Walikuwa na wanachama miloni nane na sasa wanao zaidi ya milioni kumi na Tatu, itakuwa wamekufa kabisa eeh? Samahani wanaCHEDEMA tunatoa siri hawa watu huwa wanaudhi malanyingine!!
 
Subiri matokeo ya oktoba utajionea
Matokeo ndio tegemeo pekee la CCM, wanahisi kwakuwa katiba ni mbovu watatangazwa japo wanajua huwa hawashindi, sasa ukondoo ndio husababisha mshindwa kutangazwa, ukondoo ukidhibitiwa mshindi halali atatangazwa Kwa namna yeyote
 
Matokeo ndio tegemeo pekee la CCM, wanahisi kwakuwa katiba ni mbovu watatangazwa japo wanajua huwa hawashindi, sasa ukondoo ndio husababisha mshindwa kutangazwa, ukondoo ukidhibitiwa mshindi halali atatangazwa Kwa namna yeyote
Ni upotevu wa nguvu za kufikiri kuamini kwamba Lisu atawashinda ccm kwenye bix la kura!

Kama kipimo chenu ni hayo mafuriko, hata diamond anakusanya mara 3 ya anaowakusanya Lisu
 
Wewe akili yako unaijua mwenyewe na si mchunguzi, unajua 2015 ulikuwa 10m against 2m aliyeshinda?

Ukondoo ulisababisha bwanayule asitangazwe, ukikoma ukondoo mshindi halali atatangazwa hata Kwa viboko!!
Ni upotevu wa nguvu za kufikiri kuamini kwamba Lisu atawashinda ccm kwenye bix la kura!

Kama kipimo chenu ni hayo mafuriko, hata diamond anakusanya mara 3 ya anaowakusanya Lisu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…