Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,292
- 7,867
Madibira AMCOS inahitaji mitambo ya ujenzi wa bara bara. Mitambo hiyo ni excavator, tipa, boza, rola(sindilia) na greda.
Mkodishaji awe na uwezo Wa kutoa risit za EFD na awe na leseni ya biashara.
Kwa kampuni, taasisi au mtu binafsi anaemiliki mitambo ya kukodisha aandike barua na kuituma kwenda kwa MENEJA MAMCOS LTD,P.O.BOX101 MBARALI, Maombi yatumwe kwanjia ya email
mamcosltd@gmail.com
Maombi yatumwe kabla ya tar 15/09/2021.
Katikabarua aeleze ghalama za kukodisha kila mtambo kwa siku.
Au unaweza kuwasiliana na Mwenyekiti kwa maelezo zaidi kwa namba +255766748456
Mkodishaji awe na uwezo Wa kutoa risit za EFD na awe na leseni ya biashara.
Kwa kampuni, taasisi au mtu binafsi anaemiliki mitambo ya kukodisha aandike barua na kuituma kwenda kwa MENEJA MAMCOS LTD,P.O.BOX101 MBARALI, Maombi yatumwe kwanjia ya email
mamcosltd@gmail.com
Maombi yatumwe kabla ya tar 15/09/2021.
Katikabarua aeleze ghalama za kukodisha kila mtambo kwa siku.
Au unaweza kuwasiliana na Mwenyekiti kwa maelezo zaidi kwa namba +255766748456