Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kenyaforums, mtandao ulioshika kasi Kenya umeweza kuua baadhi ya viongozi. Ni majuzi tu ilitangaza mama Lucy Kibaki amefariki ingawa story alikuwa hospitali hoi.
Majuzi kati wakaja na Hon. Moi kafa ikajulikanaa in urongo.
Leo wamesambaza habari Hon. Mwai Kibaki kafariki. Wakenya mnajua yuko hai hajafa mmekaa kimya ipo siku huu mtandao utaua wake zenu.
Amkeni, nahisi ni wakati wa Serikali kuchukulia hatua kama Hon. Kibaki ni mzima.
Majuzi kati wakaja na Hon. Moi kafa ikajulikanaa in urongo.
Leo wamesambaza habari Hon. Mwai Kibaki kafariki. Wakenya mnajua yuko hai hajafa mmekaa kimya ipo siku huu mtandao utaua wake zenu.
Amkeni, nahisi ni wakati wa Serikali kuchukulia hatua kama Hon. Kibaki ni mzima.