comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
CHADEMA na wanaharakati wanamdharau na kupuuza ushauri wa Spika.
1. kwenye suala la akina Mh. Mdee kawashauri nini cha kufanya mnampuuuza nao wanaendelea kubaki bungeni GOOAL.
2. kwenye suala la Mh. Lissu kawashauri nini cha kufanya mkampuuza sasa mnaleta oh Lissu analipwa matilioni- kawambia kwa orodha mlioweka mitandanoni kwa mbwebwe yumo na Ridhwani na ilishalipwa GOOAL.
SCORE
NYINYI 0- YEYE NA UTARATIBU 2
Edeleeni na kumpuuza
1. kwenye suala la akina Mh. Mdee kawashauri nini cha kufanya mnampuuuza nao wanaendelea kubaki bungeni GOOAL.
2. kwenye suala la Mh. Lissu kawashauri nini cha kufanya mkampuuza sasa mnaleta oh Lissu analipwa matilioni- kawambia kwa orodha mlioweka mitandanoni kwa mbwebwe yumo na Ridhwani na ilishalipwa GOOAL.
SCORE
NYINYI 0- YEYE NA UTARATIBU 2
Edeleeni na kumpuuza