Mitandao ya kijamii ni fursa, unaitumiaje kunufaika?

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Kutokana na maendeleo ya sayansi ya teknolojia na maendeleo ya kidigitali imekuja mitandao ya kijamii ambayo imeambatana na mambo mengi ikiwemo mawasiliano, burudani, sehemu ya kutunza kumbukumbu nk

Zipo fursa nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii achilia mbali nilizoshare hapo juu, eleza unazojua na jinsi ya kuzifikia au kunufaika ili watu wajue waweze kuchangamkia fursa ili waongeze kipato, ujuzi na maarifa ikiwemo kuoata ubunifu.

Karibu
 
Mitandao kwa wengi ni nyonyaji fulani linalokamua fedha zao kwa vifurushi uchwara, msongo wa mawazo kwa kuona wenzao wameyapatia (kwa picha) na uraibu.
 
Mitandao kwa wengi ni nyonyaji fulani linalokamua fedha zao kwa vifurushi uchwara, msongo wa mawazo kwa kuona wenzao wameyapatia (kwa picha) na uraibu.
Pia kuna advantages hizo ni hasara
 
Matangazo ya biashara yatakupatia wateja wapya
Pia unaweza tangaza ujuzi wako na ukafahamika
 
Kuna kipindi nilikuwa nalipwa buku saba kueneza propaganda, naona sasa hivi dili zimepotea😔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…