KERO Mitandao ya simu acheni ukatili mtu anapokosea kutuma pesa

KERO Mitandao ya simu acheni ukatili mtu anapokosea kutuma pesa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Je, mitandao ya simu iruhusu kurudisha pesa iliyozidi kwenye vocha baada ya kununua kwa makosa?

  • NDIO

    Votes: 0 0.0%
  • HAPANA

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    1

robbyr

Senior Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
129
Reaction score
221
1e16458abd36c870e2041ffa74d1198b.jpg
Nina suala ambalo ninaona limewanyanyasa Watanzania wengi ingawa kwangu lilinitokea mwaka 2016. Watanzania wamekuwa wakitumia mtandao mbalimbali ya simu ikiwemo vodacom, halotel, tigo na airtel.

Ila pale mtu anapokesea kununua vocha mfano MPESA na alikuwa anataka vocha ya 10000 [elfu kumi] bahati mbaya akanunua 100000 [laki moja] naomba mitandao iweke mfumo wa mtu kuweza kurudisha kiasi fulani ili kuokoa hasara watu wanazopata.

Naomba tupaze hili kwa kupiga kura kama unaona jambo muhimu.
 
Back
Top Bottom