Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Nimeona malalamiko ya Wadau wakilalamika password zao zilibadilishwa muda mchache baada ya kuibiwa simu zao na fedha kutolewa kwenye account. Huenda mitandao ya simu hukubali maombi ya kubadilisha password kwa namna dhaifu na matapeli kutumia mwanya huo kuomba kubadilishiwa password na kuweza kumuibia mtu.
Kwa uchunguzi nilioufanya , wateja kadhaa wamedhibitisha kubadilishiwa password zao kwa haraka bila kuulizwa taarifa za msingi ambazo zingebainisha Kama wao niwamiliki wa lain husika.
Pia wengi hudai taarifa za nida Kama , Majina kamili na tarehe, mwezi wa kuzaliwa huulizwa, kimsingi taarifa za nida hupatikana kirahisi na haitoshi kubaini mmliki wa simu kadi ama laa
Mambo wanatoweza kufanya ili kuimarisha Usalama wa watumiaji wao
1. Kutokukubali kwa haraka maombi ya kubadili nywila walau masaa 24 baada ya kutuma maombi.
2. Mteja kutakuwa kuwasiliana taarifa zake katika Shop ya kampuni husika au tawi lolote lililokaribu naye.
3. Customer care waelekezwe namna ya kuwabaini matapeli pale wanapoimba kubadilishiwa password, kwamfano Kama Kuna mtu amesahau password bila Shaka nilazima akumbuke namba mojawapo , au taarifa nyingine za miamala.
4. Kurahisisha mawasiliano ya huduma kwa wateja ili kutoa Taarifa za upotevu wa laini . Kwasasa ukitaka kuwasiliana na mtandao fulani hasa Vodacom utakesha mpaka umehudumiwa waweke namba maalumu yabkupiga kurepot kupotewa na lain au simu ili iwe rahisi kufungua.
5. Finger print itumike
Mwisho Wadau mnaweza kuongeza
Kwa uchunguzi nilioufanya , wateja kadhaa wamedhibitisha kubadilishiwa password zao kwa haraka bila kuulizwa taarifa za msingi ambazo zingebainisha Kama wao niwamiliki wa lain husika.
Pia wengi hudai taarifa za nida Kama , Majina kamili na tarehe, mwezi wa kuzaliwa huulizwa, kimsingi taarifa za nida hupatikana kirahisi na haitoshi kubaini mmliki wa simu kadi ama laa
Mambo wanatoweza kufanya ili kuimarisha Usalama wa watumiaji wao
1. Kutokukubali kwa haraka maombi ya kubadili nywila walau masaa 24 baada ya kutuma maombi.
2. Mteja kutakuwa kuwasiliana taarifa zake katika Shop ya kampuni husika au tawi lolote lililokaribu naye.
3. Customer care waelekezwe namna ya kuwabaini matapeli pale wanapoimba kubadilishiwa password, kwamfano Kama Kuna mtu amesahau password bila Shaka nilazima akumbuke namba mojawapo , au taarifa nyingine za miamala.
4. Kurahisisha mawasiliano ya huduma kwa wateja ili kutoa Taarifa za upotevu wa laini . Kwasasa ukitaka kuwasiliana na mtandao fulani hasa Vodacom utakesha mpaka umehudumiwa waweke namba maalumu yabkupiga kurepot kupotewa na lain au simu ili iwe rahisi kufungua.
5. Finger print itumike
Mwisho Wadau mnaweza kuongeza