Mitandao ya simu TIGO, AIRTEL, VODA NK. Msiifuate hii amri itatuumiza watumiaji wenu na FL wenu mtaani

Mitandao ya simu TIGO, AIRTEL, VODA NK. Msiifuate hii amri itatuumiza watumiaji wenu na FL wenu mtaani

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Kwanza naomba kueleweshwa hii ya TCRA kutoa amri na kupanga bei/kupandisha bei katika kampuni binafsi huru ambazo si za kiserikali hii imekaaje, maana sielewi kupitia hili tamko.

======

Mamlaka ya mawasiliano TCRA imeyataka makampuni ya mitandao kulipa kodi adi asilimia 30% ya bidhaa za laini za simu zinazoingia nchini pamoja na kuwaongezea kodi ya uendeshaji wa huduma zao kutoka asimilia 12.8% adi asilimia 43.7% na kuyawekea mashart magumu ya usajili wa lain hizo.

Hii yote ni kutokana na mabadiliko ya sera ya mitandao ya serikali ya awamu ya tano.. na mtiririko wa kuzagaa kwa lain zisizo rasmi ambazo zinaleteleza kuvunja haki za wateja wao na kuibua utapeli, Aidha Mkurugenzi wa bodi ya TCRA ameziagiza kampuni za ZANTEL, VODACOM, SMART, AIRTEL, TIGO, HALOTEL NA TTCL.

Kuidhinisha bei halali ya laini ambazo hazitatofautiana kulingana na kampuni husika, hivyo basi Mwenyekiti na msemaji wa umoja wa mitandao Tanzania ndugu JAMES SITA MBARUKU amepeleka barua ya makubaliano ya makampuni hayo Kuwa sasa simu moja itagharimu Tsh 500 adi Tsh 600 sawa na uwiano wa gharama za uendeshaji wa bidhaa hizo, Agizo ilo la serikali linatarajia kuanza kutekelezwa DECEMBER 7 Mwaka 2020

=======


Sasa hapa pa kupanga bei kutoka 100-150 kufikia hadi 500-600 hii imekaaje kwa wajuvi wa sheria.

Na pia nawaomba wahusika wa haya makampuni wasiufuate huu mfumo kwani si lafiki kwa wanaotoa huduma za usajili wenu wa Laini mtaani kwani utawaumiza mno hali itakayopelekea na wao kuanza kusajili laini moja 3000-4000
 
Ndivyo mambo yanavyokwenda!

Kilio cha wengi harusi, na bado hakuna rangi ambayo haitaonekana!
 
JAMES SITA MBARUKU amepeleka barua ya makubaliano ya makampuni hayo Kuwa sasa simu moja itagharimu Tsh 500 adi Tsh 600 sawa na uwiano wa gharama za uendeshaji wa bidhaa hizo,

Kwingine kote nimekuelewa ila hapa sijaelewa kitu
 
Kwanza naomba kueleweshwa hii ya TCRA kutoa amri na kupanga bei/kupandisha bei katika kampuni binafsi huru ambazo si za kiserikali hii imekaaje., maana sielewi kupitia hili tamko,
"""
Mamlaka ya mawasiliano TCRA imeyataka makampuni ya mitandao kulipa kodi adi asilimia 30% ya bidhaa za laini za simu zinazoingia nchini pamoja na kuwaongezea kodi ya uendeshaji wa huduma zao kutoka asimilia 12.8% adi asilimia 43.7% na kuyawekea mashart magumu ya usajili wa lain hizo. Hii yote ni kutokana na mabadiliko ya sera ya mitandao ya serikali ya awamu ya tano.. na mtiririko wa kuzagaa kwa lain zisizo rasmi ambazo zinaleteleza kuvunja haki za wateja wao na kuibua utapeli, Aidha Mkurugenzi wa bodi ya TCRA ameziagiza kampuni za ZANTEL, VODACOM,SMART, AIRTEL,TIGO, HALOTEL NA TTCL. Kuidhinisha bei halali ya laini ambazo hazitatofautiana kulingana na kampuni husika, hivyo basi Mwenyekiti na msemaji wa umoja wa mitandao Tanzania ndugu JAMES SITA MBARUKU amepeleka barua ya makubaliano ya makampuni hayo Kuwa sasa simu moja itagharimu Tsh 500 adi Tsh 600 sawa na uwiano wa gharama za uendeshaji wa bidhaa hizo, Agizo ilo la serikali linatarajia kuanza kutekelezwa DECEMBER 7 Mwaka 2020

Sasa hapa pa kupanga bei kutoka 100-150 kufikia hadi 500-600 hii imekaaje kwa wajuvi wa sheria.
Na pia nawaomba wahusika wa haya makampuni wasiufuate huu mfumo kwani si lafiki kwa wanaotoa huduma za usajili wenu wa Laini mtaani kwani utawaumiza mno hali itakayopelekea na wao kuanza kusajili Laini moja 3000-4000
Adi ndiyo lugha gani?
 
Uzuri wa mambo yanapokuwa magumu tunaeumia wote, huu utawala unawaza kukusanya kodi na kujenga miundo mbinu haufikilii jinsi ya kumkwamua Mtanzania na umasikini
 
Ipo hivi kwa ambae hajaelewa kwamba frelencers wale wanaosajili line mwanzoni line zilikua zinauzwa kuanzia tsh100- 150 lakini kwa Sasa line moja itakua inauzwa kwa bei ya tsh 500-600 which means hakuna msajili line atakaekua anasajili bure wakati line ameuziwa Kati ya sh 500-600!!!
🦍🦍🦍🦍🦍🦍🦍
 
Mamlaka ya mawasiliano TCRA imeyataka makampuni ya mitandao kulipa kodi adi asilimia 30% ya bidhaa za laini za simu zinazoingia nchini pamoja na kuwaongezea kodi ya uendeshaji wa huduma zao kutoka asimilia 12.8% adi asilimia 43.7% na kuyawekea mashart magumu ya usajili wa lain hizo.

Hapa unamaanisha watu wote ambao wanaokuja Tanzania kwa muda mfupi huku wakitumia simu zao zenye laini zao za nje kupitia "kampuni za mitandao" labda wanamaanisha WhatsApp, FaceBook ?!

KiSwahili kweli kigumu kuelezea masuala ya TEHAMA, mitandao na tekenolijia ya mawasiliano kwa ujumla.
 
Ipo hivi kwa ambae hajaelewa kwamba frelencers wale wanaosajili line mwanzoni line zilikua zinauzwa kuanzia tsh100- 150 lakini kwa Sasa line moja itakua inauzwa kwa bei ya tsh 500-600 which means hakuna msajili line atakaekua anasajili bure wakati line ameuziwa Kati ya sh 500-600!!!
🦍🦍🦍🦍🦍🦍🦍
Yaani ni umoumo.
Na ndio maana nikasema itafikia kipindi laini tutasajiliwa kwa sh 5000 maana kuanzia leo vijana wamesajili laini kwa sh 3000
 
Safi watu wanaline hadi 7 alafu hata awazitumii
nipo tayari kuzilipia line zangu kodi kila mwaka
Nchi zote duniani zinaendeshwa kwa kodi za wananchi hakuna kulia lia
Jenga nchi yako kwa faida na maendeleo ya taifa lako
 
Adui yako muombee njaa na asilimia kubwa ya Freelencer hawataki kujiusicha na siasa wakichapata commission zao wanaona maisha wamewapatia nilikuwa nikiwapiga spana mpaka wakanipashika Tundu lissu maana naamkubali sana lissu na bado naomba iongozeke wajifunze
 
Back
Top Bottom