Yapo aliyoyafanya ambayo ukitizama kwa juu juu utadhani kuwa Yana manufaa kwa watanzania lakini kwa msingi wake ndo yamechangia kudidimiza maisha ya wananchi.
1: Utitiri wa Kodi kwa mtizamo wa haraka haraka utaona kuwa Ni Jambo jema serkali inakusanya mapato kwa wingi,lkn kinyume chake hiyo Kodi isiyo kuwa rafiki na wafanya biashara imefanya wafanya biashara kujikuta hawapati faida kwenye biashara na matokeo yake biashara zimekufa.
2: Ununzi wa ndege si jambo Baya ila lilifanyika kwa mihemuko na kutafuta sifa, hivyo kupelekea fedha nyingi kuelekezwa huko, na matokeo yake hizo ndege hazija rejesha hata 1/3 ya fedha zilizo tumika. Na ndio maana hatuja sikia Tambo, zozte zinazo husu ndege. Kwani hata ukaguzi wa CAG hakubaliwi kugusa eneo hilo.
3: Kuwekeza katika miradi mikubwa sio dhambi ila miradi hii ulitakiwa kuioatia vipaumbele kuliko ilivyo fanyika kwa papara na mihemuko , matokeo yake ni kwamba fedha zimeelekezwa huko na kusababisha mzunguko wa fedha kwa wananchi kuwa mdogo hivyo kudidimiza uchumi wa mtu mmoja mmoja.
4: Serikali ilipambana na wawekezaji katika sekta ya madini matokeo yake ni kupata hasara, na kinacho dhihirisha ni ukimya wa Hali ya juu kuhusu hiyo sekta nk.
Maendeleo ya msingi kabisa huanza na kuboresha maisha ya watu katika nyanja zote.
Na ndio maana kama tutafanya kosa la kumrudisha huyu asiye shaurika, mwenye kujiona kuwa ana akili kuzidi watanzania wote, mwenye kupenda sifa na asiye na huruma kwa wananchi na hili utalipima wakati wa majanga huwa hayuko karibu na wananchi, mtu ambaye hata kushiriki kwake kwenye misiba ilikuwa shida Hadi alipo semwa semwa Sana. Tuta ukaribisha umaskini ambao kuja kuurekebisha utachukua zaidi hata ya nusu karne zijazo.
Huyu miaka mitano hii aliyo waingiza watanzania kwenye umaskini mkubwa hivi inamtosha. Akapumzike Chato.
1: Utitiri wa Kodi kwa mtizamo wa haraka haraka utaona kuwa Ni Jambo jema serkali inakusanya mapato kwa wingi,lkn kinyume chake hiyo Kodi isiyo kuwa rafiki na wafanya biashara imefanya wafanya biashara kujikuta hawapati faida kwenye biashara na matokeo yake biashara zimekufa.
2: Ununzi wa ndege si jambo Baya ila lilifanyika kwa mihemuko na kutafuta sifa, hivyo kupelekea fedha nyingi kuelekezwa huko, na matokeo yake hizo ndege hazija rejesha hata 1/3 ya fedha zilizo tumika. Na ndio maana hatuja sikia Tambo, zozte zinazo husu ndege. Kwani hata ukaguzi wa CAG hakubaliwi kugusa eneo hilo.
3: Kuwekeza katika miradi mikubwa sio dhambi ila miradi hii ulitakiwa kuioatia vipaumbele kuliko ilivyo fanyika kwa papara na mihemuko , matokeo yake ni kwamba fedha zimeelekezwa huko na kusababisha mzunguko wa fedha kwa wananchi kuwa mdogo hivyo kudidimiza uchumi wa mtu mmoja mmoja.
4: Serikali ilipambana na wawekezaji katika sekta ya madini matokeo yake ni kupata hasara, na kinacho dhihirisha ni ukimya wa Hali ya juu kuhusu hiyo sekta nk.
Maendeleo ya msingi kabisa huanza na kuboresha maisha ya watu katika nyanja zote.
Na ndio maana kama tutafanya kosa la kumrudisha huyu asiye shaurika, mwenye kujiona kuwa ana akili kuzidi watanzania wote, mwenye kupenda sifa na asiye na huruma kwa wananchi na hili utalipima wakati wa majanga huwa hayuko karibu na wananchi, mtu ambaye hata kushiriki kwake kwenye misiba ilikuwa shida Hadi alipo semwa semwa Sana. Tuta ukaribisha umaskini ambao kuja kuurekebisha utachukua zaidi hata ya nusu karne zijazo.
Huyu miaka mitano hii aliyo waingiza watanzania kwenye umaskini mkubwa hivi inamtosha. Akapumzike Chato.