Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Five more!Five more (??) five again (??)
Mitano tena.Watanzania mmenishinda!
Msemo wa mitano tena umeshika kasi.
Kila kikitokea kitu hasi mtu anaposti......mitano tena!
Saa hapa ni kukata tamaa au kebehi za wazi?
Kwa kweli Watanzania ni watu wa amani.
Wasipopenda kitu ni maneno tu.
Watakusema sana, kama Jafo alivyomsema tu mpaka akazimia!
Huu msemo mitano tena lazima unakera!
Watanzania mmenishinda!
Msemo wa mitano tena umeshika kasi.
Kila kikitokea kitu hasi mtu anaposti......mitano tena!
Saa hapa ni kukata tamaa au kebehi za wazi?
Kwa kweli Watanzania ni watu wa amani.
Wasipopenda kitu ni maneno tu.
Watakusema sana, kama Jafo alivyomsema tu mpaka akazimia!
Huu msemo mitano tena lazima unakera!
Can you get any humour or laughter in this saying? To me it's depressing!Laughter and humor can uplift our spirit during hard times so let say again 'mitano tena'