Mitego ya Maselebriti wa kike hapa Tanzania

Mitego ya Maselebriti wa kike hapa Tanzania

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,265
Akihojiwa na Gabriel Zakaria wa Televishen ya TBC1leo asubuhi19/5/2013 katika kipindi cha JAMBO. msanii wa filamu, Kemi, (Julieth Samson) alisimulia
jinsi alivyotegewa kunywa pombe ili akilewa abakwe na kupigwa picha za utupu, lakini akagundua mpango huo
akaacha kunywa hiyo pombe hivyo akaponea aibu.Akaeleza pia hii ndio sababu iliyomfanya aokoke.

Je, pengine huu ndio mchezo wanaofanyiwa wasanii wa kike wapenda pombe? Si ajabu.
 
Hivi huyu dada si alikuwa askari vipi ameacha uaskari au bado??

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
sina hakika kama alikua basojeeer, ila yupo good xaaan na nimkongwe kitambooo
 
Ndugu, nakushauri badilisha hiyo Avatar yako.
Inadhalilisha wale wenye ugonjwa wa albinism
 
Hivi huyu dada si alikuwa askari vipi ameacha uaskari au bado??

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
adakiss, huyu dada, (Kemmy) hakuwa askari, ila babake ndo alikuwa askari na alikulia police barracks na kwa kuwa
sura yake ni ya kijeshi, watu hufikiri ni askari. Mtazame hapo chini:

PHOTO-JULIETH SAMSON.jpg
 
Last edited by a moderator:
Ogopa pombe za bure...
Kweli kabisa MadameX. Kila ninapoona picha ya aibu ya msanii wa kike wa filamu kwenye mtandao nimekuwa
nikishuku pombe kuhusika.Siamini kama mtu na akili zake timamu anaweza kukubali kupigwa picha za uchi!
 
Last edited by a moderator:
Ndio nimesoma habari ya kuhususishwa na chaguo la hiyo avatar yako.
Lakini bado inabaki kwa mtumiaji wa JF hawezi mara moja kuiona hiyo maana ya avatar, bado inabaki ni ya kidhalilishaji kwa jicho la kwanza


Hiyo ni tafsiri yako tu Futota. Avatar haijalenga huko unakofikiria. Hebu soma HABARI YA AVATAR HII.
 
Ndio nimesoma habari ya kuhususishwa na chaguo la hiyo avatar yako.
Lakini bado inabaki kwa mtumiaji wa JF hawezi mara moja kuiona hiyo maana ya avatar, bado inabaki ni ya kidhalilishaji kwa jicho la kwanza
Sawa Futota. Nenda chitchat tena utakuta thread yenye title: Bai bai avatar. Nitairudia ile avatar ya zamani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom