mpapai au mgomba emu jaribu hiyo kwanza
Umeongea vizur mkuuIli usaidiwe inakubidi useme upo mkoa gani usijekuta upo Dodoma halafu ukaelekezwa miti ya DSM
Get My Like Mkuu!!
Zelkova tree nenda karibu na mlimani city ukiwa unatokea ubungo wanauza miti mizuri sana,
kwa faida zaidi panda mitiki pembeni ya nyumba yako
Dr. hiyo mitiki faida zake nini... ninapenda miti saana... nimeshazoea mitope tope miparachichi stafeli michungwa ambayo mwisho wa siku napata matunda.
Zelkova tree nenda karibu na mlimani city ukiwa unatokea ubungo wanauza miti mizuri sana,
kwa faida zaidi panda mitiki pembeni ya nyumba yako
Nafikiri mitiki ni mti ghali kuliko miti yote kwani ubao wake mkuu daby unatumika kutengeneza vitako vya bunduki na kutengenezea meli ni miti ambayo inafaida sana ukilima ekari moja unauuga umasikini.Dr. hiyo mitiki faida zake nini... ninapenda miti saana... nimeshazoea mitope tope miparachichi stafeli michungwa ambayo mwisho wa siku napata matunda.
Noted, nitautafuta... kwa Arusha naamini kama morogoro unastawi basi utastahimiliNafikiri mitiki ni mti ghali kuliko miti yote kwani ubao wake mkuu daby unatumika kutengeneza vitako vya bunduki na kutengenezea meli ni miti ambayo inafaida sana ukilima ekari moja unauuga umasikini.
Sehemu nyingi inastawi.......ila zaidi kwenye mvua za kutosha, joto la wastani na udongo wenye kina kirefu. Mashamba makubwa ya Teak yapo Tanga (Longuza), Morogoro (Turiani, Ifakara etc). Kazi kwako.....ukipata kijitabu cha mbegu cha Tanzania Tree Seed Agency kimeorodhesha maeneo kwa ufasaha zaidi.
Mimi binafsi nimeipanda kwangu na shambani japo si kwa wingi.
Mkuu ubao wa teak huwezi kuununua its very expensive na endapo ukilima hata ekari moja lazima mabenki waje wakubembeleze uwauzie.
Hicho kitabu cha TTSA ninacho mkuu. Ila mitiki inachukua muda mrefu sana kufikia harvesting age about 25 yearsNafikiri mitiki ni mti ghali kuliko miti yote kwani ubao wake mkuu daby unatumika kutengeneza vitako vya bunduki na kutengenezea meli ni miti ambayo inafaida sana ukilima ekari moja unauuga umasikini.
Sehemu nyingi inastawi.......ila zaidi kwenye mvua za kutosha, joto la wastani na udongo wenye kina kirefu. Mashamba makubwa ya Teak yapo Tanga (Longuza), Morogoro (Turiani, Ifakara etc). Kazi kwako.....ukipata kijitabu cha mbegu cha Tanzania Tree Seed Agency kimeorodhesha maeneo kwa ufasaha zaidi.
Mimi binafsi nimeipanda kwangu na shambani japo si kwa wingi.
Mkuu ubao wa teak huwezi kuununua its very expensive na endapo ukilima hata ekari moja lazima mabenki waje wakubembeleze uwauzie.
Si lazima uvune wewe, watavuna hata wanao.Hicho kitabu cha TTSA ninacho mkuu. Ila mitiki inachukua muda mrefu sana kufikia harvesting age about 25 years
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sasa mabenki yaje kukubembeleza kununua mbao/mitiki kwa ajili ya nini? Benki hazitengenezi furniture.Nafikiri mitiki ni mti ghali kuliko miti yote kwani ubao wake mkuu daby unatumika kutengeneza vitako vya bunduki na kutengenezea meli ni miti ambayo inafaida sana ukilima ekari moja unauuga umasikini.
Sehemu nyingi inastawi.......ila zaidi kwenye mvua za kutosha, joto la wastani na udongo wenye kina kirefu. Mashamba makubwa ya Teak yapo Tanga (Longuza), Morogoro (Turiani, Ifakara etc). Kazi kwako.....ukipata kijitabu cha mbegu cha Tanzania Tree Seed Agency kimeorodhesha maeneo kwa ufasaha zaidi.
Mimi binafsi nimeipanda kwangu na shambani japo si kwa wingi.
Mkuu ubao wa teak huwezi kuununua its very expensive na endapo ukilima hata ekari moja lazima mabenki waje wakubembeleze uwauzie.
kabisa yaani, busara zero kabisaHujaonyesha busara Mkuu hili jukwaa la watu makini