Kuna mashamba matatu ya miti ya Mbao jamii ya pines ( pinus patulla), miti ina umri wa miaka 12 na 13. Miti hii iko kijiji cha Chogo Mufindi, ni 100km toka Mafinga kwa njia ya Ibwanzi, au 120km toka Iringa/Mafinga. Bei ya kila eka moja ni Tsh 1,200,000/. Mashamba yanafikika kirahisi.
Shamba la kwanza ni eka 5, lipo kando ya Barabara umri miaka 12, shamba la pili eka 50, miaka 13 gari linafika hadi shambani. Shamba la tatu eka 36, miaka 13. Barabara inaishia kama mita 400 hivi, pakisembuliwa gari linafika vizuri.
Wenye mashamba wapo dar, mmoja anauza ili aoteshe parachichi, wa pili anauza ili afanye mambo mengine na ku-replant eucalyptus.
Haya mashamba nayafahamu back ground yake vizuri sababu nilishiriki kuyanunua, kuotesha, kutunza na sasa kuuza. Karibuni.
Shamba la kwanza ni eka 5, lipo kando ya Barabara umri miaka 12, shamba la pili eka 50, miaka 13 gari linafika hadi shambani. Shamba la tatu eka 36, miaka 13. Barabara inaishia kama mita 400 hivi, pakisembuliwa gari linafika vizuri.
Wenye mashamba wapo dar, mmoja anauza ili aoteshe parachichi, wa pili anauza ili afanye mambo mengine na ku-replant eucalyptus.
Haya mashamba nayafahamu back ground yake vizuri sababu nilishiriki kuyanunua, kuotesha, kutunza na sasa kuuza. Karibuni.