Miti ya Mapambo yaota ghafla barabara ya Sam Nujoma

Miti ya Mapambo yaota ghafla barabara ya Sam Nujoma

mfianchi

Platinum Member
Joined
Jul 1, 2009
Posts
11,904
Reaction score
8,371
Leo nimeona maajabu miti ya mapambo imeota ghafula kwenye barabara ya Sam Nujoma maeneo ya Mlimani City Shopping Mall,hakika barabara imependeza lakini hii miti haioti hovyo ,ina masharti na moja ya sharti ni kuwa mpaka pale ijue itatembelewa na waheshimiwa sana wageni kutoka nje ndio inasitawi na wageni waondokapo tu hii miti hufa. Lo naionea huruma kwani itaishi kwa siku si zaidi ya tatu tu hapo Mlimani city
 
Jamani hakuna anayeweza piga picha tuone jinsi kulivyopendza now?
 
Back
Top Bottom