Wanamazingira wapinga mti wa mbuyu kungolewa na kuuzwa. Miti hiyo adhimu inayoenziwa na wenyeji wa kaunti ya Kilifi pwani ya Kenya hutumika kwa shughuli nyingi za kijamii.
Mambo hayo ni kama kufanyia matambiko, kubwaga mashetani yabaki ktk mbuyu, mbegu / punje za ubuyu hutumika kama kikolezo ktk mlo kama uji pia unga wa punje hizo una madini megi ya calcium, potassium, vitamin C nyingi sana, matawi yake yaliyoanguka ni kuni na magome yake dawa za asili
Mti wa mbuyu ukiwa umetayarishwa kusafirishwa kwenda, Marekani
Rais Ainigilia Kati Kuona Uwezekano wa Kupiga Marufuku Biashara,ya mti wa Mbuyu
Source : KTN News Kenya
More info :
mg.usembassy.gov
https://mg.usembassy.gov › u-s-gov...
U.S. Government-Funded Research to Investigate the ...
26 Feb 2021 — USAID awards a $130,000 research grant to the University of Antananarivo. Madagascar's most iconic ....
Mambo hayo ni kama kufanyia matambiko, kubwaga mashetani yabaki ktk mbuyu, mbegu / punje za ubuyu hutumika kama kikolezo ktk mlo kama uji pia unga wa punje hizo una madini megi ya calcium, potassium, vitamin C nyingi sana, matawi yake yaliyoanguka ni kuni na magome yake dawa za asili
Mti wa mbuyu ukiwa umetayarishwa kusafirishwa kwenda, Marekani
Rais Ainigilia Kati Kuona Uwezekano wa Kupiga Marufuku Biashara,ya mti wa Mbuyu
Source : KTN News Kenya
More info :
mg.usembassy.gov
https://mg.usembassy.gov › u-s-gov...
U.S. Government-Funded Research to Investigate the ...
26 Feb 2021 — USAID awards a $130,000 research grant to the University of Antananarivo. Madagascar's most iconic ....