Umedanganywa kama na wewe ni sehemu ya hao Zombie, sahau sio kwa Tanzania, bajeti ya kazi kama hiyo haipo, na kama wakirudia itakuwa mbaya zaidi kwasababu wanaofundisha na wanaosahihisha ni hao hao ambao hawajaboreshewa mishahara, miundombinu ya kufanyia kazi, vifaa vya kufundishia (vitabu) na mengine mengi kinachopelekea wao kushindwa kufanya kazi ipasavyo wakati Waziri na watendaji wakuu wengine wakifaidi mihela na marupurupu kibao.