Mitihani ya Darasa la Saba maswali ni ya kuchagua

Mitihani ya Darasa la Saba maswali ni ya kuchagua

Ududu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
1,020
Reaction score
556
Wameanza leo mitihani na maswali yote hadi ktk hesabu ni ya kuchagua herufi kwa kutia kideshi.Wapi tunaenda watanzania?
 
Wameanza leo mitihani na maswali yote hadi ktk hesabu ni ya kuchagua herufi kwa kutia kideshi.Wapi tunaenda watanzania?
Ndipo ninapo shangaa nchi hii!,maswali ya kuchagua haipimi uelewa wa mtoto na au mtahiniwa,maswali ya kuchagua yanalenga kufaulisha na hapo ndio kilio cha elimu yetu,Leo unakuwa na watu ovyo kabisa wasio na uelewa hata kidogo na wasiojijua.Elimu ya tz hovyo kabisa na haya mikiswahili ndio shida!hata maswali ya kiingereza yanajibiwa kwa kiswahili...big result now!
 
Kuna mtoto kijijini kwetu aliambiwa kuwa amefaulu mtihani wa darasa la saba akashangaa sana na kumwuliza aliyempa habari "kwani kufaulu ni kitu gani"?
 
Mwingine kasema mwanae akifaulu ataenda kuwashtaki walimu.
 
nimejaribu kuuliza kwa nini wameweka kwa kuchagua. wamesema kwa kutumia hivyo itawa saidia walimu kusahisha
 
Haaa haaa haaa!! Bigi rizatzi nau
Kichwa stupid so kila kitu nchini kinakuwa stupid
 
Kuna mtoto kijijini kwetu aliambiwa kuwa amefaulu mtihani wa darasa la saba akashangaa sana na kumwuliza aliyempa habari "kwani kufaulu ni kitu gani"?

Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
 
shukuru kawambwa, msomi sana hanafanya hafanyaro, kuweka desh hatakama ni kiraza lazima afauru,tz where we goin now
 
Ndipo ninapo shangaa nchi hii!,maswali ya kuchagua haipimi uelewa wa mtoto na au mtahiniwa,maswali ya kuchagua yanalenga kufaulisha na hapo ndio kilio cha elimu yetu,Leo unakuwa na watu ovyo kabisa wasio na uelewa hata kidogo na wasiojijua.Elimu ya tz hovyo kabisa na haya mikiswahili ndio shida!hata maswali ya kiingereza yanajibiwa kwa kiswahili...big result now!
Maswali ya kuchagua at least kwa chuo au A-level ambao tayari wamejua umuhimu wa elimu maana watataka kila swali kulifanyia kazi, kwa elimu ya sasa yaani primary na o-level wangepiga marufuku kabisa.
 
shukuru kawambwa, msomi sana hanafanya hafanyaro, kuweka desh hatakama ni kiraza lazima afauru,tz where we goin now

Alafu wale ambao wenye akili kuna possibility wakaonekana vilaza maana wao wanakuwa wanajiuliza kwa kujitahidi kulinganisha majibu mwisho wa siku kuna sehemu anakosea lakini kilaza yeye ni risk taker anatick anavyojua na mara nyingi wanafaulu
 
Nilifikiri wangeamka kumbe bado wako usingizini?Tunakoelekea siko kwani ili BRN iwe kweli lazima watumie mbinu hii! Cha kushangaza watafaulu wasiotsahili na watachaguliwa kuingia kidato cha kwanza huku hawajui kusoma wala kuandika. ni heri wafaulu wachache wasonge mbele kuliko upuuzi huu wa Waziri mzigo na naibu wake ambaye hajui Tanzania imetokana na nchi zipi mbili zilizoungana (retired).
 
Kwanini sisi kama watanzania tunapenda kulalamika sana bila kuja na solution??kila kitu lawama huoni hata mmoja anaesema labda tukifanya jambo fulani elimu yetu itakuwa au tufate njia fulani elimu itabadirika na kuwa na msaada na muafaka kwa kizazi chetu,lawama tuu mtu akipewa dhamana tunakaa kando kumvizia aharibikiwe tuanze kumnyooshea kidole..Ubovu wa elimu yetu haukuanza leo wala jana tangu kipindi cha hayati mwalimu Nyerere lakini kwakuwa tumejifunza kuwa wingi walama tunamlaumumiana tuu
 
Kila idara imeoza nchi hii tunatakiwa kuanza upya nakuja na sera mpya kabisa zinazotekelezeka kwa sasa sera za nchi zipo kwenye makaratasi tu wanaosimamia sera hizo hawajui cha kufanya
 
Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!

Mkuu utashangaa sana naunaweza kufikiri kuwa ni habari ya kutunga lakini ni ukweli mtupu!

Sasa mtoto amefaulu lakinihajui maana ya kufaulu; ni elimu ya aina gani inatolewa kwa watoto wetu?! Hii ni majanga makubwa kwa taifa!
 
Alafu wale ambao wenye akili kuna possibility wakaonekana vilaza maana wao wanakuwa wanajiuliza kwa kujitahidi kulinganisha majibu mwisho wa siku kuna sehemu anakosea lakini kilaza yeye ni risk taker anatick anavyojua na mara nyingi wanafaulu

Mwenye akili ana akili tu...
 
Mwenye akili ana akili tu...

Upo sahihi point yangu hapo kuna wenye akili wengi na wanajiweza na wana-score marks nyingi tu ila kuna mazingira ya mtihani mtu anaweza aka score 70% kutokana na wengi wao wanaumiza kichwa kutafuta majawabu kabla ya ku-tick alafu kilaza mwingine kwa ngekewa anakuwa anajaza tu bila kutafakari mwisho wa siku aka-score 90% mwisho wa siku kwenye judgement anaonekana mwenye 90 kama special flani kumbe wapi.
 
Ndio BRN hiyo... Mania zetu wallahi chini ya CCM hakuna rangi tutaacha ona!
 
Back
Top Bottom