VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Safari hii ni Bible Knowledge na Islamic Knowledge. Mitihani hii miwili imezua sintofahamu na kusababisha matokeo ya Kidato cha Nne kuchelewa kutoka. Yalipaswa kutangazwa Jumatatu ya tarehe 11/2/2013. Yakataka kutokea ya mwaka jana.Lakini,NECTA imebaki salama.
Sintofahamu hiyo imetokana na kutofautiana kwa 'Marking Schemes' za masomo hayo zilizowasilishwa. Hivyobasi,mitihani hiyo ilisahihishwa kwa Marking Scheme zilizotengenezwa papo hapo. Hatahivyo,wataalamu wa dini zote walishirikishwa katika kuunda Marking Scheme hizo.Kila kitu kilikwenda sawa.
Mitihani imeshasahihishwa.Matokeo yameshapangwa.Yapo tayari.Ingawa si mazuri kwa Shule zetu za Serikali na hasa za Kata,yako njiani.Wasichana wamewafunika wavulana.Tayari kuwapa raha au karaha watahiniwa. Watahiniwa kaeni chonjo.
Sintofahamu hiyo imetokana na kutofautiana kwa 'Marking Schemes' za masomo hayo zilizowasilishwa. Hivyobasi,mitihani hiyo ilisahihishwa kwa Marking Scheme zilizotengenezwa papo hapo. Hatahivyo,wataalamu wa dini zote walishirikishwa katika kuunda Marking Scheme hizo.Kila kitu kilikwenda sawa.
Mitihani imeshasahihishwa.Matokeo yameshapangwa.Yapo tayari.Ingawa si mazuri kwa Shule zetu za Serikali na hasa za Kata,yako njiani.Wasichana wamewafunika wavulana.Tayari kuwapa raha au karaha watahiniwa. Watahiniwa kaeni chonjo.