Mitihani ya dunia...

Invisible

JF Admin
Joined
Feb 26, 2006
Posts
16,286
Reaction score
8,380
Mama alijifungua kiumbe wa hivi... Ni mitihani ya dunia, hawezi kumuua, inabidi awanyonyeshe mapacha wake!


 
OOhhh My...Huyo mwingine ni NYANI(sio Ngabu) ..!...Ama kweli hujafa hujaumbika!...Lakini kwa ishu kama hii, inabidi ashauriane na Madaktari wamweleze kama kiumbe hicho kitafaa kuishi kati ya binadamu..vinginevyo kama sivyo, watumie utaratibu wa kidakatari kukieliminate!...Pole mzazi!
 
Du hii kweli ni mitihani ya dunia
 
na hii itakua nje ya campus ya Osmania..Hyederabad..kuna nyani wanafanana na huyo...
Na jinsi nyani wa pale walivyo na adabu mbovu,,usishangae ndio waliompa ujauzito huyo mama..
Washenzi sana wale
 
Inamaana alipewa mimba na nyani? duh heeeeeeeee!
 
hehehe nyani kweli hatari
lakini ndo maisha yalivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…