denzo washington
Member
- May 7, 2013
- 23
- 7
Tetesi zilizpo kitaa ni kuwa mitian iliyopangwa kusahihishwa upya imeahirishwa kwa kuwa kuna watu waliojinyonga kutokan na matokea hayo na kuna watu waliorudia madarasa au hat kwenda chuo hivyo kusahihishwa upya kwa mitihani ni kuwavuruga wanafunzi.
Hiyo ndo serikali yetu, chezea tz wewe.
Hiyo ndo serikali yetu, chezea tz wewe.