denzo washington
Member
- May 7, 2013
- 23
- 7
Mkuu naona umejitahidi kuandika uongo wa buguruni, Pia kwa taarifa yako serkali haikusema kuwa mitihani itasahihishwa upya, bali matokeo yanapangwa upya kwa grade mpya ambapo zoezi hilo ni tayari limeshaanza toka last sunday labda kama umepata tetesi hizo kwa mukandala au wauza viroba wa hapo mtaani.
Tetesi zilizpo
kitaa ni kuwa mitian iliyopangwa kusahihishwa upya imeahirishwa kwa kuwa
kuna watu waliojinyonga kutokan na matokea hayo na kuna watu waliorudia
madarasa au hat kwenda chuo hivyo kusahihishwa upya kwa mitihani ni
kuwavuruga wanafunzi..hyo ndo sirikali yety..chezea tz wewe
Mkuu naona umejitahidi kuandika uongo wa buguruni, Pia kwa taarifa yako serkali haikusema kuwa mitihani itasahihishwa upya, bali matokeo yanapangwa upya kwa grade mpya ambapo zoezi hilo ni tayari limeshaanza toka last sunday labda kama umepata tetesi hizo kwa mukandala au wauza viroba wa hapo mtaani.
Angalia na wew unatudangany, nani kasema wanatumia grade mpya??? Grade mpya ndizo zilizotumika, ok kwa kukusaidia tu Serikal wanatumia mfumo wa mwaka 2011 ambao una grade za zamani, Grade mpya watumie mara ngap??
Tetesi zilizpo kitaa ni kuwa mitian iliyopangwa kusahihishwa upya imeahirishwa kwa kuwa kuna watu waliojinyonga kutokan na matokea hayo na kuna watu waliorudia madarasa au hat kwenda chuo hivyo kusahihishwa upya kwa mitihani ni kuwavuruga wanafunzi..hyo ndo sirikali yety..chezea tz wewe
Tumepishana tu lugha, lakin hope ujumbe umefika kwani niliposema mpya nilimaanisha za zamani sasa ww ukatoka usingizini na viroba vyako ukakurupuka pasipo kuelewa.
Hahaha yan wew ndo
hujui kabsa, utasemaje 'mpya' wakat unamaanisha 'zaman'?Inaonekana
hujapitia class wew
Hahaha yan wew ndo hujui kabsa, utasemaje 'mpya' wakat unamaanisha 'zaman'?Inaonekana hujapitia class wew
Hapana,alijichanganya kidogo,na ukiwa kama mwanaume shupavu,hata siku moja usikiri udhaifu,ndiyo kanuni(no 67)aliyoitumia..Ofcoz umeongea ukweli,na umeonesha jnc alivyochanganya mpya na zamani.
Mkuu bas sawa.
Hahahahahaaa.....mkuu wabongo tuna shida sanaInaonekana kumbe hata hujui serikali ilisema nini kuhusu hayo matokeo na uamuzi uliochukuliwa.
Tumepishana tu lugha, lakin hope ujumbe umefika kwani niliposema mpya nilimaanisha za zamani sasa ww ukatoka usingizini na viroba vyako ukakurupuka pasipo kuelewa.