mitihani ya necta

Mpigaji

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2011
Posts
384
Reaction score
42
Wadau hivi mitihani ya kidato cha 4 au 6 hutungwa kwa kuzingatia mihtusari ya masomo au vipi?
 
Wadau hivi mitihani ya kidato cha 4 au 6 hutungwa kwa kuzingatia mihtusari ya masomo au vipi?
<br />
<br />
ulichouliza ndicho kinapaswa kiwe hivyo. Kutunga mtihani nje ya muhutasari ni kosa utakuwa unapima kitu ambacho sio kusudio la mafunzo. Kwa mitihani yetu ya necta yapo matatizo. Kuna wakati maswali yanakuwa nje ya muhutasari.
 
Ndio ndugu lazma wafuate muktasari.
 
Wanaotunga mitihani ni waalimu wa Tanzania, wanatumia mitaala ya Tanzania. NECTA wapo sahihi wanapotunga mitihani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…