Mitihani yanayoyotungwa na halmashauri hawazingatii mtaala

Mitihani yanayoyotungwa na halmashauri hawazingatii mtaala

Mbahili

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
281
Reaction score
525
As-salamu alaykum watanzania wote mliomakinika katika nyanja mbalimbali katika usukumaji wa gurudumu wa taifa hili. Leo nimeona nilete hili kwenu.

Baada ya shule kufungwa, wazazi ilibidi wakachukue matokeo ya watoto wao. Nilikwenda kuchukua matokeo bhn, cha ajabu performabce ya mwanangu ilikuwa xhini kustaajabisha. Ikabidi nianze kukagua mbele ya mwalimu wa darasa...

Nilishangaa, eti darasa la tatu anaambiwa andika 6,456,876 kwa maneno? Andika thamani ya 4? Mamia elfu? Wamefika lini? Niliangalia mtihani wote ikabidi niulize swali kwa mwalimu wa darasa, mbona content si ya level zao.. Alipo nijibu nilishika kichwa..." Mitihani inatoka moja kwa moja halmashauri, hivyo ndio wameleta hivi".

Huenda halmashauri zingine hufanya vyema, naomba wizara ya elimu ihakiki mitihani iliyotungwa na halmashauri Arusha mjini, mitihani ya darasa la tatu specifically, maswali 11 ni out of class 3 syllabus. Nimepanga kuangalia za level zingine na kuahidi kuwapa mrejesho wa madarasa mengine...
 
As-salamu alaykum watanzania wote mliomakinika katika nyanja mbalimbali katika usukumaji wa gurudumu wa taifa hili. Leo nimeona nilete hili kwenu.

Baada ya shule kufungwa, wazazi ilibidi wakachukue matokeo ya watoto wao. Nilikwenda kuchukua matokeo bhn, cha ajabu performabce ya mwanangu ilikuwa xhini kustaajabisha. Ikabidi nianze kukagua mbele ya mwalimu wa darasa...

Nilishangaa, eti darasa la tatu anaambiwa andika 6,456,876 kwa maneno? Andika thamani ya 4? Mamia elfu? Wamefika lini? Niliangalia mtihani wote ikabidi niulize swali kwa mwalimu wa darasa, mbona content si ya level zao.. Alipo nijibu nilishika kichwa..." Mitihani inatoka moja kwa moja halmashauri, hivyo ndio wameleta hivi".

Huenda halmashauri zingine hufanya vyema, naomba wizara ya elimu ihakiki mitihani iliyotungwa na halmashauri Arusha mjini, mitihani ya darasa la tatu specifically, maswali 11 ni out of class 3 syllabus. Nimepanga kuangalia za level zingine na kuahidi kuwapa mrejesho wa madarasa mengine...
Huu ni mtaala mpya,ukiangalia kitabu cha darasa la tatu cha hisabati ndio utashanga Kuna mpaka tarakimu zinafika hadi 9,999,999
 
Huu ni mtaala mpya,ukiangalia kitabu cha darasa la tatu cha hisabati ndio utashanga Kuna mpaka tarakimu zinafika hadi 9,999,999
Labda huyu mlalamishi hajui kuwa kwa sasa primary level ni mwisho darasa la sita. Hivyo si lazima adjustment ifanyike ili vile vya Hadi darasa la Saba view covered mwisho darasa la sita.
 
Mimi nilidhani mleta mada atawapongeza ili vijana wajiongeze katika kusoma! Vijana wanakaa mitaani wanazurula na kwenye vibanda umiza! Mununulie mwanao hata vitabu vya darasa la nne, tano na sita na aanze kupiga!
 
As-salamu alaykum watanzania wote mliomakinika katika nyanja mbalimbali katika usukumaji wa gurudumu wa taifa hili. Leo nimeona nilete hili kwenu.

Baada ya shule kufungwa, wazazi ilibidi wakachukue matokeo ya watoto wao. Nilikwenda kuchukua matokeo bhn, cha ajabu performabce ya mwanangu ilikuwa xhini kustaajabisha. Ikabidi nianze kukagua mbele ya mwalimu wa darasa...

Nilishangaa, eti darasa la tatu anaambiwa andika 6,456,876 kwa maneno? Andika thamani ya 4? Mamia elfu? Wamefika lini? Niliangalia mtihani wote ikabidi niulize swali kwa mwalimu wa darasa, mbona content si ya level zao.. Alipo nijibu nilishika kichwa..." Mitihani inatoka moja kwa moja halmashauri, hivyo ndio wameleta hivi".

Huenda halmashauri zingine hufanya vyema, naomba wizara ya elimu ihakiki mitihani iliyotungwa na halmashauri Arusha mjini, mitihani ya darasa la tatu specifically, maswali 11 ni out of class 3 syllabus. Nimepanga kuangalia za level zingine na kuahidi kuwapa mrejesho wa madarasa mengine...
Mtaala umezingatiwa vzr sana kiongozi..tenga muda ukague vitabu vya kiada darasa la tatu mfano SANAA NA MICHEZO,,HISTORIA YA TANZANIA n.k,Pengine utagundua kitu kizuri Sana,,Walimu tunaogopa adi kuwafundisha baadhi ya vitu maana umri wao na MAHIRI wanazopaswa kujengewa ni ngumu muno
 
Mtoto wa jirani wa darasa la nne aliniletea hili swali la hesabu walilopewa homework
1. Andika namba inafuata katika mfululizo huu 1/2, 1/8, 1/27, ............
Ilinichukua dakika kadhaa kulifikiria hili swali hili na nikafikiri sio la level yake kabisa
 
Mtoto wa jirani wa darasa la nne aliniletea hili swali la hesabu walilopewa homework
1. Andika namba inafuata katika mfululizo huu 1/2, 1/8, 1/27, ............
Ilinichukua dakika kadhaa kulifikiria hili swali hili na nikafikiri sio la level yake kabisa
Mkuu nimesoma comment yako nimekumbuka kipindi tunasoma tulikua na mwalimu wa hesabu yaan mpaka aanze kufundisha unakuta darasa Zima mshachezea fimbo sana, kila Mtu ataulizwa swali lake kama hujajibu ndani ya sekunde kadhaa unashangaaa mvua ya Stick mgongoni....mm akanipa hlo swali ulilotewa na dogo 8.....27....64.... haya mpaji tuendelezee no tatu zinazofuatia
 
Fanya rejea ya mtaala uone mabadiliko,usikariri.
Hongera kwa Halmashauri kwa kufuatilia upimaji kwa ukaribu
 
Hauko updated na mtaala mpya,kazi kulalamika tu..huyo mwanao na wewe wote vilaza.
 
Mtaala mpya huo.....ushauri wangu nenda kamnunulie vitabu....
Nadhani utapokuta kwenye SAYANSI anatakiwa kusoma sehemu za jicho na sikio na functions zake utashangaa

Na utapokuta katika Somo la Kiingereza huyo mwanao anatakiwa kusoma phones utazimia.

All in all mtaala ni mzuri sana, utatoa product ya watoto wazuri sana.
 
Mkuu nimesoma comment yako nimekumbuka kipindi tunasoma tulikua na mwalimu wa hesabu yaan mpaka aanze kufundisha unakuta darasa Zima mshachezea fimbo sana, kila Mtu ataulizwa swali lake kama hujajibu ndani ya sekunde kadhaa unashangaaa mvua ya Stick mgongoni....mm akanipa hlo swali ulilotewa na dogo 8.....27....64.... haya mpaji tuendelezee no tatu zinazofuatia
Mimi lilinishinda nikaingia Google haraka sana.
 
Hauko updated na mtaala mpya,kazi kulalamika tu..huyo mwanao na wewe wote vilaza.
Ukilaza wa mtoto umekujaje hapa? Kusema mtoto wake hakufanya vizuri ndio ushamchanganya ukilaza na baba yake?
 
As-salamu alaykum watanzania wote mliomakinika katika nyanja mbalimbali katika usukumaji wa gurudumu wa taifa hili. Leo nimeona nilete hili kwenu.

Baada ya shule kufungwa, wazazi ilibidi wakachukue matokeo ya watoto wao. Nilikwenda kuchukua matokeo bhn, cha ajabu performabce ya mwanangu ilikuwa xhini kustaajabisha. Ikabidi nianze kukagua mbele ya mwalimu wa darasa...

Nilishangaa, eti darasa la tatu anaambiwa andika 6,456,876 kwa maneno? Andika thamani ya 4? Mamia elfu? Wamefika lini? Niliangalia mtihani wote ikabidi niulize swali kwa mwalimu wa darasa, mbona content si ya level zao.. Alipo nijibu nilishika kichwa..." Mitihani inatoka moja kwa moja halmashauri, hivyo ndio wameleta hivi".

Huenda halmashauri zingine hufanya vyema, naomba wizara ya elimu ihakiki mitihani iliyotungwa na halmashauri Arusha mjini, mitihani ya darasa la tatu specifically, maswali 11 ni out of class 3 syllabus. Nimepanga kuangalia za level zingine na kuahidi kuwapa mrejesho wa madarasa mengine...
Usimtetee mtoto hiyo ni changamoto ya kawaida kwani ni wote wamefeli kama mwanao au ni mwanao tu ndo kapewa hiyo mitihan wengine walipewa mitihan mingine?
 
As-salamu alaykum watanzania wote mliomakinika katika nyanja mbalimbali katika usukumaji wa gurudumu wa taifa hili. Leo nimeona nilete hili kwenu.

Baada ya shule kufungwa, wazazi ilibidi wakachukue matokeo ya watoto wao. Nilikwenda kuchukua matokeo bhn, cha ajabu performabce ya mwanangu ilikuwa xhini kustaajabisha. Ikabidi nianze kukagua mbele ya mwalimu wa darasa...

Nilishangaa, eti darasa la tatu anaambiwa andika 6,456,876 kwa maneno? Andika thamani ya 4? Mamia elfu? Wamefika lini? Niliangalia mtihani wote ikabidi niulize swali kwa mwalimu wa darasa, mbona content si ya level zao.. Alipo nijibu nilishika kichwa..." Mitihani inatoka moja kwa moja halmashauri, hivyo ndio wameleta hivi".

Huenda halmashauri zingine hufanya vyema, naomba wizara ya elimu ihakiki mitihani iliyotungwa na halmashauri Arusha mjini, mitihani ya darasa la tatu specifically, maswali 11 ni out of class 3 syllabus. Nimepanga kuangalia za level zingine na kuahidi kuwapa mrejesho wa madarasa mengine...
Hii nchi pambana sana ujijenge kiuchumi sawasawa ili wanao waje kula mema yako.
 
Back
Top Bottom