Car4Sale Mitsubishi Fuso Tipper inauzwa

Mavindozii

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
2,111
Reaction score
2,781
Mitsubishi Fuso Tipper inauzwa. Iko katika hali nzuri sana ,unanunua na kuanza kufanya kazi ,popote pale Afrika inafika ,bei ni 34 milioni maongezi yapo ,gari ipo mkoa wa Manyara, kwa mawasiliano zaidi.Gari haina dalali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe uliinunua bei gani? Mbona bei ya kuuzia ni kubwa kuliko bei ya kununulia kipindi iko 'mpya'?
Kipindi hiko (2005) tuliagiza Dubai Fuso kama hii na tulilipa milioni 21 tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…