malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Picha yakeNataka kununua Mitsubishi outlander wadau naulizia fuel consuption yake lita1 inakwenda km Ngapi ..navip outlander kuanzia ya mwaka upi nichuke na yenye specification zipi ndio Bora zaid
Nunua Rav kili time au juu yake.....miss tzNataka kununua Mitsubishi outlander wadau naulizia fuel consuption yake lita1 inakwenda km Ngapi ..navip outlander kuanzia ya mwaka upi nichuke na yenye specification zipi ndio Bora zaid
Na huu ndio ukweli..Mtu yeyote anayeulizia sifa za gari huku akitilia mkazo ulaji wa mafuta, mwambie level yake ni IST, VITZ, PREMIO na zingine kama hizo. Ukitaka kununua SUV swala la ulaji wa mafuta weka pembeni.
Nikweli mkuu..Sasa mim nakituo Cha mafuta kwangu so ishu Mzee nikujaza tu fulltankMtu yeyote anayeulizia sifa za gari huku akitilia mkazo ulaji wa mafuta, mwambie level yake ni IST, VITZ, PREMIO na zingine kama hizo. Ukitaka kununua SUV swala la ulaji wa mafuta weka pembeni.